Kilichopo kila MTU anaangalia chance ya kutupiga. Jamaa mwendazake akili yake yote aliamini kutupigia kwenye majengo. Ndio maana hata akalazimishia kujenga nyumba za Marais waliopita. Ili tu apige hela!!Kutoka kwenye sorces zisizo na uhakika zilisema kuwa.
Alikimbia kwa sabbu system zilikuwa hacked ...yaliyokuwa yafanyike/kutangazwa tayari yalikuwa yameshafika mitandaoni.
Hoja ya mapepo,Sina uhakika.
Yote kwa yote alitaka kuidhinisha kazi iliyoanzishwa na muasisi Baba wa Taifa kuhamia Dom
Pia Magogoni ni Ikuku ndogo kama zilivyo nyingine mikoani.Nahisi next time atakuwa pale kwa wenzetu wa Kigoma kuapisha wakuu wa wilaya
Kwa upande wa Mama,ni mapema sana tumpe muda.
Yote kwa yote, huwa pia nawaza na kuwazua kuwa endapo akipatikana Raisi wa awamu nyingine nae pia atakuwa anaenda Magogoni?
Uamuzi haukua wa JPM bali wa Nyerere na wenzake enzi hizo..Katika hali za sintofahamu juu ya utendaji wa tofauti sana kati ya rais wa sasa na yule aliekuwa mtangulizi wake, kwa muda mchache sana tumeona mengi yakibadilishwa kwa kasi ya kimbunga.
Huku wengine wakihoji vipi mahusiano yao ya awali kati ya rais SSH na JPM kiushirikiano yalikuwaje kwa undani zaidi?
Kwa matukio mengi ya kiserikali hivi yamekuwa yakifanyika katika ofisi ya ikulu ya Dar na ukimya ukitanda kuhusu maendeleo ya Chamwino.
Sasa je, uamuzi ule wa kuhamisha ikulu toka Dar mpaka Dodoma ulifanywa na hayati pekee bila kushirikisha ngazi nyingine iliyo pembeni yake na wengine hawakupendezwa na maamuzi hayo?
Pengine kutokana na Happ woote, isipokuwa mmoja (Kati ya walikuwa wakimalizia mambo yao pwani ya saridalama, kuwa na asili na pwani hiyo, yaani panakuwa karibu zaidi na kwao kuliko idodomya..Marais wote kasoro mmoja tu. Ishu zote walikuwa wanamalizia pwani ya salidalama
Ndiyo kazi ya Matàga.Mataga wakati jiwe anafanyia mambo ya serikali Chato walikuwa wanasema kote ni Tanzania
Aliyehamishia dodoma ndiye ambaye alifanya matumizi mabovu zaidi ya fedha.nchi bado maskini,viko vitu vya msingi bado hatujavifanya tukisingizia uhaba wa fedha alafu anatokea mtu anahamisha serikali bila kuangalia gharama zitakazoingia.Hiyo fedha ongepekea kwenye mambo ya msingi ingetoa mchango mkubwa sana kwenye uchumi wetu.Ikulu ya Dar ipangishwe ni matumizi mabaya ya pesa kugharamia Ikulu 2 kwa pamoja.sema tu ndio vile Watanzania ni matahira tupo tupo kama hatupo.
Unaongopa HADHARANI....mh.Rais SSH Wala si muongeaji sana Kama USEMAVYO.....huyu mama anakoelekea hata haeleweki, anaongea sana utendaji ZERO......
yani yeye ni dsm, zenji, dsm zenji sijui kama anaelewa anachokifanya!
Unataka kutuambia kuwa watu wa visiwani hawako SINGIDA ,DODOMA IRINGA ,MBEYA na TABORA?!!! Khaaaa 🤣🤣Sio rahisi mtu wa visiwani akakae bara Tena kwa wagogo. Acha jiji akakae Dodoma eti, jiji Tena changa, ukiona wapi?
Maza kazaliwa maeneo yenye bahari leo mnamwambia akaishi kwenye mchanga?Katika hali za sintofahamu juu ya utendaji wa tofauti sana kati ya rais wa sasa na yule aliekuwa mtangulizi wake, kwa muda mchache sana tumeona mengi yakibadilishwa kwa kasi ya kimbunga.
Huku wengine wakihoji vipi mahusiano yao ya awali kati ya rais SSH na JPM kiushirikiano yalikuwaje kwa undani zaidi?
Kwa matukio mengi ya kiserikali hivi yamekuwa yakifanyika katika ofisi ya ikulu ya Dar na ukimya ukitanda kuhusu maendeleo ya Chamwino.
Sasa je, uamuzi ule wa kuhamisha ikulu toka Dar mpaka Dodoma ulifanywa na hayati pekee bila kushirikisha ngazi nyingine iliyo pembeni yake na wengine hawakupendezwa na maamuzi hayo?