Rais Samia kutoipa kipaumbele ikulu ya Dodoma: Je, kuhamia Chamwino ilikuwa matakwa binafsi ya Hayati Magufuli?

Ivi DSM si ni sehemu ya Tz kuna shida gani?
JPM kuhamia Dodoma ni kutekeleza uamuzi wa chama toka zama za JKN issue ambayo for 40 years watangulizi wake walishindwa yeye alilimudu.
Il wale wenye mahaba na dsm hawaishiwi maneno tutaendelea kuwasikia
 
Katika hali za sintofahamu juu ya utendaji wa tofauti sana kati ya rais wa sasa na yule aliekuwa mtangulizi wake, kwa muda mchache sana tumeona mengi yakibadilishwa kwa kasi ya kimbunga.

Huku wengine wakihoji vipi mahusiano yao ya awali kati ya rais SSH na JPM kiushirikiano yalikuwaje kwa undani zaidi?

Kwa matukio mengi ya kiserikali hivi yamekuwa yakifanyika katika ofisi ya ikulu ya Dar na ukimya ukitanda kuhusu maendeleo ya Chamwino.

Sasa je, uamuzi ule wa kuhamisha ikulu toka Dar mpaka Dodoma ulifanywa na hayati pekee bila kushirikisha ngazi nyingine iliyo pembeni yake na wengine hawakupendezwa na maamuzi hayo?
Mwacheni mama afanye kazi yake, aende dodoma ili akavumbue nini? Mwache mama apunge upepo mwanana wa bahari ya hindi. Tena hayo magofu ya ikulu ya dodoma yangefanywa kuwa hostel za wanafunzi wetu wa udom.
 
Tujenge kwanza madarasa na matundu ya vyoo tuache anasa!! Kuna serekali mtandao sasa!! Napendekeza wizara ya fedha na bank kuu, wizara ya uvuvi, wizara ya ujenzi na wizara ya Mambo ya nje zibaki DSM kupunguza gharama

Gharama zipi?
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom