Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,711
- 2,226
Ivi DSM si ni sehemu ya Tz kuna shida gani?
JPM kuhamia Dodoma ni kutekeleza uamuzi wa chama toka zama za JKN issue ambayo for 40 years watangulizi wake walishindwa yeye alilimudu.
Il wale wenye mahaba na dsm hawaishiwi maneno tutaendelea kuwasikia
JPM kuhamia Dodoma ni kutekeleza uamuzi wa chama toka zama za JKN issue ambayo for 40 years watangulizi wake walishindwa yeye alilimudu.
Il wale wenye mahaba na dsm hawaishiwi maneno tutaendelea kuwasikia