I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,730
- 10,033
Katika hali za sintofahamu juu ya utendaji wa tofauti sana kati ya rais wa sasa na yule aliekuwa mtangulizi wake, kwa muda mchache sana tumeona mengi yakibadilishwa kwa kasi ya kimbunga.
Huku wengine wakihoji vipi mahusiano yao ya awali kati ya rais SSH na JPM kiushirikiano yalikuwaje kwa undani zaidi?
Kwa matukio mengi ya kiserikali hivi yamekuwa yakifanyika katika ofisi ya ikulu ya Dar na ukimya ukitanda kuhusu maendeleo ya Chamwino.
Sasa je, uamuzi ule wa kuhamisha ikulu toka Dar mpaka Dodoma ulifanywa na hayati pekee bila kushirikisha ngazi nyingine iliyo pembeni yake na wengine hawakupendezwa na maamuzi hayo?
Huku wengine wakihoji vipi mahusiano yao ya awali kati ya rais SSH na JPM kiushirikiano yalikuwaje kwa undani zaidi?
Kwa matukio mengi ya kiserikali hivi yamekuwa yakifanyika katika ofisi ya ikulu ya Dar na ukimya ukitanda kuhusu maendeleo ya Chamwino.
Sasa je, uamuzi ule wa kuhamisha ikulu toka Dar mpaka Dodoma ulifanywa na hayati pekee bila kushirikisha ngazi nyingine iliyo pembeni yake na wengine hawakupendezwa na maamuzi hayo?