Rais Samia kushusha zaidi bei ya mafuta mwishoni mwa Desemba 2021

Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo.

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE.

Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana.

Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza.

Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana.

Tanzania tuko vizuri sana
 
Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo.

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE.

Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana.

Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza.

Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana.

Tunataka maji na umeme kumamake...
 
Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo.

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE.

Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana.

Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza.

Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana.

Bado wiki moja ngoja tuone
 
Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo.

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE.

Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana.

Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza.

Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana.

Kwa muda huu na kazi hii huyu Mama anatufikisha salama tumwamini zaidi
 
Bei ya Dunia i
Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo.

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE.

Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana.

Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza.

Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana.

tashuka mwezi ujao kwasababu USA watatoa mafuta mengi kwenye soko na hivyo kupunguza bei. Acheni agenda za uongo sio nzuri
 
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 
Hapa mama amecheza sana, Hawa waagiza mafuta walikuwa wanajipangia bei wanavyotaka tu,

Kwahili tuweke siasa pembeni tumpongeze Rais Samia,

Acheni kuimba kwaya zenu; mnampogezaje kwa kushusha bei ya Mafuta kwa maneno lakini ukienda kwenye pump bei ziko pale pale? Mnapewa maneno yasiyoendana na uhalisia wa bei za bidhaa husika; hivyo hivyo walisema wamepunguza kwa 30% tozo za miamala ya Simu lakini maumivu ya tozo kwa Wananchi yamebaki palepale!!! Wanasema sana lakini vitendo sifuri!!
 
Acheni kuimba kwaya zenu; mnampogezaje kwa kushusha bei ya Mafuta kwa maneno lakini ukienda kwenye pump bei ziko pale pale? Mnapewa maneno yasiyoendana na uhalisia wa bei za bidhaa husika; hivyo hivyo walisema wamepunguza kwa 30% tozo za miamala ya Simu lakini maumivu ya tozo kwa Wananchi yamebaki palepale!!! Wanasema sana lakini vitendo sifuri!!
Kwani desemba imefika? Acha papara
 
Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo.

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE.

Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana.

Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza.

Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana.

Naomba kujua Bei ya mafuta kwa Dec 21, imepanda au imeshuka?

Sio kila neno la mwanasiasa unatakiwa kupigia makofi hasa maneno yanayohusu hela/tozo
 
Back
Top Bottom