Rais Samia kushusha zaidi bei ya mafuta mwishoni mwa Desemba 2021

Mwanahabari wa Taifa

JF-Expert Member
May 27, 2020
1,450
799
Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo.

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE.

Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana.

Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza.

Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana.

photo_2021-11-04_12-44-42.jpg
 
New dawn for consumers as fuel prices exepected to drop
MONDAY NOVEMBER 01 2021

Fuel pic
Summary
In the new system, the government said yesterday that it would now start importing the products directly from refineries that are owned by countries which also produce crude oil
ADVERTISEMENT

Josphine picBy Josephine Christopher
More by this Author

Dar es Salaam. Tanzanians should expect stability in fuel prices starting December this year as the government starts a new system of importing petroleum products.

Tanzania imports about 3.5 billion litres of refined petroleum products yearly: petrol, diesel, kerosene, Jet-A1 and Heavy Fuel Oil (HFO).

Under the new system, the government said yesterday that it would henceforth import the products directly from refineries that are owned by countries which also produce crude oil.

This, Energy minister January Makamba said yesterday, would cut the role of intermediaries in the fuel marketing chain.
He said the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) will be given the mandate of importing fuel for use in the country.
This would be a shift from the current system whereby fuel is imported by private companies through the Bulk Procurement System (BPS).

The move to change the importation system follows a joint official trip to the three crude oil producing countries of Saudi Arabia, United Arab Emirates and Algeria by Mr Makamba, TPDC’s managing director James Mataragio and Oil and Gas commissioner at the Energy ministry, Mr Michael Mjinja.

The trip was conducted on October 22-29 this year. He, however, noted that the BPS mode would remain. But the government will work to eliminate flaws in the system.

Mr Makamba said the government facilitated TPDC to take part in a competitive bidding with other international companies that usually take part in the BPS bidding every month.

“TPDC has won the tender after it bade the lowest price - and, therefore, it will import fuel for December this year. “This would reduce the price of fuel for the month of December,” Mr Makamba said in a statement yesterday. This is the second time in two months that the government is intervening in the fuels market.

Last month, President Samia Suluhu Hassan directed the reduction of a total of Sh102 billion in various fuel levies in an effort to cushion consumers against rising global fuel prices.

Mr Makamba said yesterday that the visit to crude oil producing countries was a deliberate move intended to find new ways of bringing more relief in fuel prices.

The government would also exchange experiences and strengthen diplomatic and economic ties with the countries. Tanzania, he said, would strike agreements of cooperation in the matters of oil and gas with the countries for the general good of Tanzania - agreements that are to be finalised within two weeks.

“We have also succeeded in persuading the countries we visited to cooperate with us in building a large fuel storage facility (fuel terminal) for the domestic market - but one that can also supply to other countries in the East and Central African region - and even beyond,” said Mr Makamba.

He also said hat this would ensure a steady supply of the product to consumers. The current reserve can also sustain for 15 days only.
in the meantime, he said, the government will establish a temporary strategic petroleum reserve.

Oil marketers applaud the system “It is well and good. Being members of the business community, our goal is to ensure that consumers get the product at affordable prices,” said the executive director for Tanzania Association of Oil Marketing Companies (Taomac), Mr Raphael Mgaya.

The secretary general of the Tanzania Petrol Station Operators Association (Tapsoa), Mr Augustino Mmasi, shared similar sentiments when commenting on the matter. “It’s going to benefit the lower-leven consumers across the country,” he said.

 
===
Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo...
Hapa mama amecheza sana, Hawa waagiza mafuta walikuwa wanajipangia bei wanavyotaka tu,

Kwahili tuweke siasa pembeni tumpongeze Rais Samia,
 
Back
Top Bottom