Ijengwe Barabara ya lami kutoka Karatu-Meatu-Bariadi na Meatu-Kolandoto-Shinyanga, Mafuta yachukuliwe Tanga utaona mabadiliko makubwa sana

saigilomagema

JF-Expert Member
Jun 5, 2015
4,173
6,156
Mh. Rais wangu Dr. Samia Suluhu Hassan barabara tajwa hapo juu ni muhimu sana. Imarisha bandari ya Tanga, mikoa ya kanda za Kaskazini, kanda ya ziwa na nchi jirani za Burundi Rwanda na Uganda watachukulia mafuta bandari ya Tanga, Dsm ni mbali na kuna msongamano mkubwa. Pili barabara ya njia 4 ifike angalau KIA kutoka Tengeru(Arusha). Rais wangu utaona mabadiliko makubwa sana. Jengeni hata kwa utaratibu wa EPC plus Finance, hiyo barabara ni ya kiuchumi italipa sana.
 
Hiyo ya njia nne aanze na ya Kibaha Chalinze, huko Tengeru tulieni kwanza
 
Mh. Rais wangu Dr. Samia Suluhu Hassan barabara tajwa hapo juu ni muhimu sana. Imarisha bandari ya Tanga, mikoa ya kanda za Kaskazini, kanda ya ziwa na nchi jirani za Burundi Rwanda na Uganda watachukulia mafuta bandari ya Tanga, Dsm ni mbali na kuna msongamano mkubwa. Pili barabara ya njia 4 ifike angalau KIA kutoka Tengeru(Arusha). Rais wangu utaona mabadiliko makubwa sana. Jengeni hata kwa utaratibu wa EPC plus Finance, hiyo barabara ni ya kiuchumi italipa sana.
Tulizeni mshono kwanza Dar bado hajamaliza kurekebisha....ujue Dar ndio 98% mapato yooote....mtulizane kwamza
 
Nadhani ushauri mzuri kwa rais ni kumkumbusha aanze kujenga bandari ya Bagamoyo . Hapa aakuwa ametibu tatizo . Huko Shinyanga subirini kwanza.
 
Back
Top Bottom