Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,675
- 59,781
Ndugu zangu wana JF baada ya kutoka bei za mafuta kupitia EWURA nimeona niingie kufanya utafiti niweze kujua bei za mafuta ghafi na gharama zake za kuyasafisha na kusafirisha mpaka kufika kwetu hapa Tanzania.
Hapa nitaleta taarifa za kina kuona namna gani tunaweza kufanya au kujua dunia jinsi ilivyo.
Nimetumia mitandao kadha wa kadha ambayo inaleta taarifa live za bei ya Barrel moja na mafuta ghafi.
Kwanza Barrel ni nini?
Ni kipimo ambacho kimepitishwa duniani kwaajili ya kuuziana mafuta.
Source: Convert Barrel (oil) to Liter
BEI ZA MAFUTA GHAFI DUNIANI
Bei za mafuta duniani zinabadilika badilika, lakini siyo sana. Na mafuta haya yanatofautina bei kulingana na gharama zake za kuyasafisha. Mafuta Ghafi yenye gharama ya juu sana ni Arab Light kutoka Saudia bei yake ni $92.56/bbl
Source:-
GHARAMA YA KUSAFISHA MAFUTA GHAFI
Kulingana na tafiti zilizo kwa kiwanda kikubwa kabisa cha kusafisha mafuta mfano kilichopo marekani Texas Exxon Baytown Gharama zake ni $3–4/Bbl
Lakini kama refinery ni ndogo ngarama inaenda juu ni $10–12 per bbl.
GHARAMA ZA USAFIRISHAJI KWA BARREL MOJA
KUsafirisha barrel moja gharama zake zipo standard ni $10-$15 per barrel
SASA NAOMBA TUPIGE HESABU SASA GHARAMA HALISI YA MAFUTA KWA LITA
Naomba katika hesabu zangu nipige kwa kuangalia gharama za juu.
Bei ya Crude oil per barrel = $92.56
Bei ya Kusafisha = $12
Bei ya Kusafirisha = $15
Gharama zingine = $10
JUMLA =$129.56
Tutafute bei ya mafuta hayo kwa litre moja
129.56/158.987 = 0.81
Maana yake bei ya mafuta ni $0.81
Naomba niongezee na gharama zingine 20% ya International Tax
Ni sawa na $0.162 kwa kila lita jumla itakuwa
0.972
Kwahiyo bei halisi ya mafuta ni $0.972
Tutafute kwa pesa zetu za kitanzania 2,385.80 Tanzanian Shilling
JE SHIDA NI NINI?
Hapa nitaleta taarifa za kina kuona namna gani tunaweza kufanya au kujua dunia jinsi ilivyo.
Nimetumia mitandao kadha wa kadha ambayo inaleta taarifa live za bei ya Barrel moja na mafuta ghafi.
Kwanza Barrel ni nini?
Ni kipimo ambacho kimepitishwa duniani kwaajili ya kuuziana mafuta.
Barrel = 158.987 Liter tunaweza kusema 159 Liter
Maana yake ukinunua barrel moja utakuwa umenunua Lita 158.9 za mafuta.Source: Convert Barrel (oil) to Liter
BEI ZA MAFUTA GHAFI DUNIANI
Bei za mafuta duniani zinabadilika badilika, lakini siyo sana. Na mafuta haya yanatofautina bei kulingana na gharama zake za kuyasafisha. Mafuta Ghafi yenye gharama ya juu sana ni Arab Light kutoka Saudia bei yake ni $92.56/bbl
Source:-
Crude Oil - Price - Chart - Historical Data - News
Crude Oil increased 11.53 USD/BBL or 16.09% since the beginning of 2024, according to trading on a contract for difference (CFD) that tracks the benchmark market for this commodity. Crude Oil - values, historical data, forecasts and news - updated on April of 2024.
tradingeconomics.com
GHARAMA YA KUSAFISHA MAFUTA GHAFI
Kulingana na tafiti zilizo kwa kiwanda kikubwa kabisa cha kusafisha mafuta mfano kilichopo marekani Texas Exxon Baytown Gharama zake ni $3–4/Bbl
Lakini kama refinery ni ndogo ngarama inaenda juu ni $10–12 per bbl.
GHARAMA ZA USAFIRISHAJI KWA BARREL MOJA
KUsafirisha barrel moja gharama zake zipo standard ni $10-$15 per barrel
SASA NAOMBA TUPIGE HESABU SASA GHARAMA HALISI YA MAFUTA KWA LITA
Naomba katika hesabu zangu nipige kwa kuangalia gharama za juu.
Bei ya Crude oil per barrel = $92.56
Bei ya Kusafisha = $12
Bei ya Kusafirisha = $15
Gharama zingine = $10
JUMLA =$129.56
Tutafute bei ya mafuta hayo kwa litre moja
129.56/158.987 = 0.81
Maana yake bei ya mafuta ni $0.81
Naomba niongezee na gharama zingine 20% ya International Tax
Ni sawa na $0.162 kwa kila lita jumla itakuwa
0.972
Kwahiyo bei halisi ya mafuta ni $0.972
Tutafute kwa pesa zetu za kitanzania 2,385.80 Tanzanian Shilling
JE SHIDA NI NINI?