Rais Samia kuhutubia na kufungua Bunge la 13, leo Ijumaa Novemba 14, 2025

Rais Samia kuhutubia na kufungua Bunge la 13, leo Ijumaa Novemba 14, 2025

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
photo_2025-11-14_07-30-06.jpg


View: https://www.youtube.com/watch?v=qb1BTEzjtbI

Pia soma:
~
Rais Samia kumuapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu, leo Novemba 14, 2025
~ Uchaguzi wa Urais Tanzania 2025: Samia Suluhu ashinda kwa 98%
 
ni jambo linalosubiriwa kwa hamu na watanzania wote kwa ujumla ni kama mama anakwenda kuliponya taifa ukitizama kwa umakini
Kiongozi umesema kuliponya taifa au nimesoma vibaya?

Unaweza kuponya taifa kwa hotuba ya siku moja kweli?Kwa mfano kuna watoto ni yatima hivi tunavyozungumza wazazi wao wameuliwa siku na baada ya uchaguzi(kwamba kwa hotuba ya leo hii inaweza kurudisha mambo kwenye usawa)

Kuna watu leo hii wako magereza wanapitishwa katika tabu zote na wengi wao walikamatwa hata hawakuwa sehemu ya vurugu zilizotokea(hawa nao wataponywa kwa hotuba ya leo)

Sawa kiongozi ngoja tusubiri uponyaji wa leo
 
Sa100 hataki hata kusubiri Watu wazike Watu wao. Like nothing happened in the country.
Aliwabembeleza sana hao Gen Z, msifanye maandamano, hayo mengine yanazungumzika. Vijana wakakomaza fuvu awafanyaje sasa.
 
ni jambo linalosubiriwa kwa hamu na watanzania wote kwa ujumla ni kama mama anakwenda kuliponya taifa ukitizama kwa umakini
Kumbuka yeye ndiye mwendelezaji wa matatizo ya nchi hii na pia mwasisi wa matatizo mapya. Ataponyaje taifa?
 
Nadhani leo anaweza kuimalizia nchi kuisagasaga baada ya kumeguka vipande vipande au akaregret kwa kilichotokea na kuanza kukusanya vipande vipande vilivyomeguka
 
Ungekuwa wewe nadhani ungewachekea na kuwaimbia mapambio ili wafanye vile wanajisikia.
Ningewakamata. Ningewapiga mabomu ya machozi, maji ya washa washa. Nisingeua watu wanaokimbia, nisingeua watu wapo kwenye magari yao binafsi.

Hii siyo mara ya kwanza maandamano kutokea TZ, watu walikuwa wakikamatwa au kupigwa virungu! Hii ya risasi ni mpya. Ni mauaji ya HALAIKI, haikubaliki.
 
Ningewakamata. Ningewapiga mabomu ya machozi, maji ya washa washa. Nisingeua watu wanaokimbia, nisingeua watu wapo kwenye magari yao binafsi.

Hii siyo mara ya kwanza maandamano kutokea TZ, watu walikuwa wakikamatwa au kupigwa virungu! Hii ya risasi ni mpya. Ni mauaji ya HALAIKI, haikubaliki.
Ulitakiwa uwe Polisi usaidie nchi yako.
 
Back
Top Bottom