Nimesikia tu kwamba, "You're going to stay inside until you give instructions to your people to............." She speaks English with strong vernacular accent.

I think the reason that English is her third language has a bearing on the way she can express herself in that language and this is a challenge facing majority of Tanzanians and hers is just a tip of an iceberg.
Hapo tatizo ni direct translation/tafsiri ya moja kwa moja, toka lugha moja kwenda nyingine. Mara nyingi wengi wetu hufikiria kwa lugha zetu na kuyatia mawazo yetu katika lugha ambayo inatumika katika majadiliano au hata mashuleni. Kwa Kiswahili tunasema "Utakaa ndani hadi hapo...." tukimaanisha "Utakaa lupango/ korokoroni/lokapu hadi hapo....". Sasa ukitafsiri neno kwa neno ndiyo unaishia kusema hayo aliyoyasema huyo Waziri, "You are going to stay inside until...."
 
Hapo tatizo ni direct translation/tafsiri ya moja kwa moja, toka lugha moja kwenda nyingine. Mara nyingi wengi wetu hufikiria kwa lugha zetu na kuyatia mawazo yetu katika lugha ambayo inatumika katika majadiliano au hata mashuleni. Kwa Kiswahili tunasema "Utakaa ndani hadi hapo...." tukimaanisha "Utakaa lupango/ korokoroni/lokapu hadi hapo....". Sasa ukitafsiri neno kwa neno ndiyo unaishia kusema hayo aliyoyasema huyo Waziri, "You are going to stay inside until...."
Hiyo ni tatizo la kufikiria lugha.

Lugha ili uimaster haautakiwi ufikirie kwa lugha yako,unatakiwa ufikirie kwa lugha yao,hii utaweza endapo utakuwa unaskiliza saaaaana scenario za lugha husika na sio kujisomea peke yako.
 
Pamoja na Kuongea Broken English .Je hiyo Broken haieleweki kwani!!? Wanaomsikiliza hawaelewi kwani. Umeona hata baadhi ya Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao humu tz wanavyoongea Kiingereza chao. Au unataka kila mtu aongee kama Muingereza, Irish au Marekani??. Tusiwe Wajinga kiasi hiki.

Anyway naona JUNGU LAKO limefanya kazi. KATOLEWA
 
Hapo tatizo ni direct translation/tafsiri ya moja kwa moja, toka lugha moja kwenda nyingine. Mara nyingi wengi wetu hufikiria kwa lugha zetu na kuyatia mawazo yetu katika lugha ambayo inatumika katika majadiliano au hata mashuleni. Kwa Kiswahili tunasema "Utakaa ndani hadi hapo...." tukimaanisha "Utakaa lupango/ korokoroni/lokapu hadi hapo....". Sasa ukitafsiri neno kwa neno ndiyo unaishia kusema hayo aliyoyasema huyo Waziri, "You are going to stay inside until...."
Kwa kweli aliupiga mwingi sanaa
 
Ona hapa Hayati Magufuli enzi za uhai wake nae alikua ni miongoni mwa PHd zilizokua mahututi mbele ya english....

Sikiliza utumbo huu:

"We have approximately thirty ferries and the one which is working is more than twenty nine..." hesabu hiyo umeielewa?

Angalia kuanzia dakika 1:20 link

Ben Sanane alipoteaga kwa kuhoji PhD fake ya mzee
 
Phd watu wananunua machapisho wala msiogope kuona mtu ana phd siku hizi....kuna mama mmoja nilikuwa nafanya nae kazi huko katavi yeye aliniambia masters yake aliinunua million 11....
Siamini. Labda u DOM unaweza nunua kama walivyofanya wale Mawaziri 2 TZ. Ila masters in course works ubanunuaje masomo yote kwa Walimu wote?
 
Sijamuelewa anazungumzia nn..aaah aah nyingi, point yake ipi hasa
Hivi ninyi mgekutana na Professor wa Umeme wa Mkanyathar wa kusini kabisa ya India mgetiboa kweli? Maana kwa uelewa wako wa hicho unachokiita Kiingereza na bado huelewi, picha ninayopata ni kuwa huwezi kujiongeza ukishaambiwa hii ni 'a' kwako ni a daima!!! Huu ni udhaifu wako.
 
Back
Top Bottom