Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Rais Samia Suluhu Hassan amesema urais sio mtu ni taasisi lakini kikatiba kunakuwa na mtu pale juu. Amewaambia Mawaziri kuwa kama hawampendi Rais aliyepo basi wapende nchi yao
Amesema hata kama haumpendi Rais Samia isiwe kigezo cha kupuuza mambo yote ambayo serikali inafanya. Ameruhusu watu kumchukia lakini sio kuchukia mambo ya serikali
Amewataka kuheshimu viapo vyao kwa kuwa wameapa kwa kushika vitabu vya Imani zao