mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,383
- 1,552
Inaonekana wewe ni Mangi,ni tajiri gani aliyenyanganywa pesa hapa Nchi? kwa mala ya kwanza ktk utawala wa awamu ya 5 Tanzania ilitoa bilionia kijana Africa Mo, Sasa ni matajiri Wapi walionyanganywa hizo pesa? wakati enzi za Magufuri akina Said Bakressa ndipo waliongeza uzalishaji,labda ukiongelea wachaga waliokuwa wakifanya fojali kwenye kwenye maduka ya kubadilisha fedha,na Magufuri alivowagundua hatujawai kusikia shilling yetu kiporomoka hovyo,kama enzi za mkwereWakati watumishi hawalipwi stahiki zao hamkuumia kwasababu halijawagusa ,watumishi walipo sitishiwa nyongeza za mishahara na kuto panda madaraja hamkuumia, wastaafu kuto pewa stahiki zao hamkuumia , serikali kuto ajiri na kupelekea watumishi wachache waliopo kufanya kazi kama punda hamkuumia , halsmashauri zilishindwa kujiendesha na pesa zote zinakusanywa hazina wala hamkuumia , matajiri kubambikiwa keshi kubwa ili watoe pesa hamkuumia, wafanya biashara kunyang'anywa pesa zao na kufilisiwa accounts zao hamkuumia sababu hayo yote mliyasikia lakini kwa vile hayakugusa maslahi yenu mliyafurahia
Leo limekuja linanalo wagusa tena hela ndogo tu kwa mwezi kwa maslahi ya taifa ndio mnakuja juu na maneno lukuki.
ACHENI UBINAFSI.