Rais Samia, jitenge na GSM kama ulivyojitenga na Sabaya

Rais Samia, jitenge na GSM kama ulivyojitenga na Sabaya

Huko south africa waliita 'state capture'. Hadi leo kuna wahindi wameshitakiwa kwa kesi ya 'state capture'. Hapa kwetu sijui bado hatujaliona hilo. Unakuta wahindi au waarabu wanajipendekeza na kutumia hila za kuhonga hadi wanashika dola huku wananchi wakiendelea kufikiri ni chama ndio kinaongoza dola kumbe tajiri wa kiarabu.
Hao GSM ni hatari walianza huo mchezo awamu ya 4 awamu ya 5 jpm akawatolea mbali. Sasa wameanza upya 'state capture
Wanasheria wazalendo waanze kuweka ushahidi kwa nia ya kufungulia vigogo kesi ya rushwa na huyo muarabu kesi ya 'state capture'.
Hawa ni waziguwa,na Wana ndugu wengi wa kiziguwa.
 
Hawa jamaa wamepiga sana risasi watu wasio na hatia hawana tofaut na bashite tu

Walimteka jamaa alimpa mimba dadaao

Wajanja walichoka na sinema zao wakamwagia tindikali kakaao alikuwa anaitwa said akaenda kutibiwa south Africa, sijui yuko wapi saiv
Uongo mtupu
 
Waarabu na Wahindi sio watu wakuwazoea na kuwapa access kwenye mifumo, wapo kwa ajili ya kuchuma huku wakiwadanganya ni watanzania wenzenu wa kisarawe... kuwaachia wahindi kicontrol game ni kuiangamiza nchi na kuwafanya Watanzania wote kuwa watumwa..

Top ten richest people in Nigeria.
1. Aliko Dangote
2. Mike Adenugas
3. Abdulsamad Rabiu.
4. Femi Otedola.
5. Folorunsho Alakija
6. Uzoma Dozie
7. Jimoh Ibrahim
8. Orji Uzor Kalu
9. Jim James
10.Hajia Bola Shagaya..
 
Waarabu na Wahindi sio watu wakuwazoea na kuwapa access kwenye mifumo, wapo kwa ajili ya kuchuma huku wakiwadanganya ni watanzania wenzenu wa kisarawe... kuwaachia wahindi kicontrol game ni kuiangamiza nchi na kuwafanya Watanzania wote kuwa watumwa..

Top ten richest people in Nigeria.
1. Aliko Dangote
2. Mike Adenugas
3. Abdulsamad Rabiu.
4. Femi Otedola.
5. Folorunsho Alakija
6. Uzoma Dozie
7. Jimoh Ibrahim
8. Orji Uzor Kalu
9. Jim James
10.Hajia Bola Shagaya..
Kila nchi ina sera zake,na utaratibu wake.Hiyo Nigeria kuna majimbo yanaongozwa kwa sharia za kiislmu,huku sisi hatuna.Hatuigii nchi nyingine zinafanya nini.Wapo wahindi na waarabu,walishiriki kupigania Uhuru,kwa mali na wao wenyewe,bila kumuogopa mkoloni.Na wengine walifikia kunyonywa,kama Kina Abushiri Al harith,wa Pangani.
 
top ten richest in Kenya.

1. Moi Family
2. Manu Chandaria
3. Biwot family
4. Mama Ngina Kenyata
5. Bhimji Depar
6. Naushad Merali
7. Uhuru Kenyata
8. Chris kirubi.
9. Sk Macharia
10. Atul shah.
 
Uongo mtupu
Sawa msema kweli
Screenshot_20220321-101040.jpg
Screenshot_20220321-101053.jpg
 
top ten richest Tanzania.

1. Mo Dewji
2. Rostam Aziz.
3. Said Salim Bakhresa
4. Reginald Mengi.
5. Ally Awadh
5. Shekhar Kabanar.
6. Shubash Patel.
7. Fida Hussein Rashid
8. Yusuph Manji.
10. Salim Turkey.

Ukiona kwenye Taifa uchumi umeshikiliwa na hiyo Jamii basi watu wake wengi ni masikini, wako utumwani na tegemea mambo kama hayo ya dharau kutoka kwa kina GSM na wengine..
 
top ten richest in Kenya.

1. Moi Family
2. Manu Chandaria
3. Biwot family
4. Mama Ngina Kenyata
5. Bhimji Depar
6. Naushad Merali
7. Uhuru Kenyata
8. Chris kirubi.
9. Sk Macharia
10. Atul shah.
Whindi wamo humo.Tizama majina ya kihindi.
 
top ten richest Tanzania.

1. Mo Dewji
2. Rostam Aziz.
3. Said Salim Bakhresa
4. Reginald Mengi.
5. Ally Awadh
5. Shekhar Kabanar.
6. Shubash Patel.
7. Fida Hussein Rashid
8. Yusuph Manji.
10. Salim Turkey.

Ukiona kwenye Taifa uchumi umeshikiliwa na hiyo Jamii basi watu wake wengi ni masikini, wako utumwani na tegemea mambo kama hayo ya dharau kutoka kwa kina GSM na wengine..
Sio ukweli,acha uongo.
 
top ten richest Tanzania.

1. Mo Dewji
2. Rostam Aziz.
3. Said Salim Bakhresa
4. Reginald Mengi.
5. Ally Awadh
5. Shekhar Kabanar.
6. Shubash Patel.
7. Fida Hussein Rashid
8. Yusuph Manji.
10. Salim Turkey.

Ukiona kwenye Taifa uchumi umeshikiliwa na hiyo Jamii basi watu wake wengi ni masikini, wako utumwani na tegemea mambo kama hayo ya dharau kutoka kwa kina GSM na wengine..
Sio kweli,wengi tumepata ajira kupitia hao.Tunasomesha,tumejenga,nyumba zaidi ya moja kupitia ajira zao.Na tunajikimu kimaisha.
 
Hapa hatuongelei uzawa bali uchafu wao kimaadili.

Acha kusoma kwa nguvu tumbo tumia nguvu akili.
Na wewe acha woga. Wafukuze Wahindi na Waarabu ili umalize uchafu. Fanya kama Idi Amin
 
Back
Top Bottom