voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,943
- Thread starter
- #161
Na ndivyo ilivyo mpaka sasa!Nianavyo awamu hii hawa jamaa (wako wengi hata yule wa 'taifa gas')wataibudu na kuiweka mfukoni kama ilivyokuwa ile awamu ya 4, muda ni mwalimu mzuri sana!
Wewe angalia kwenye ziara za nje nani na nani wako mbele zaidi