Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 44,878
- 132,731
Jwahiyo na wewe unauza madawa ya kulevya
Nyinyi ndiyo wale Watanzania mnaoamini kila tajiri mtaani/mjini ni muuza madawa ya kulevya, mwizi, freemason, mchawi, na mtoa kafara!
Kumbe wakati mwingine watu wanatumia tu fursa zilizo wazunguka, na pia wanapambana kweli kweli! na mwisho wa siku wanatoboa.
Tengeneza connection Mheshimiwa kama hao GSM ili ufaidi mema ya Nchi. Ukiufuata huu ushauri wangu, basi utakuja kunishukuru hapo baadaye.