Rais Samia, jitenge na GSM kama ulivyojitenga na Sabaya

Rais Samia, jitenge na GSM kama ulivyojitenga na Sabaya

Ni ushauri tu!

Kwa kasi sana tunaona wanavyojitahidi, kutengengeneza mazingira ya kukusogelea zaidi.

Walianza na Mechi ya kumchangia yule mtoto mgonjwa.

Na kwa mara ya kwanza tangu uingie madarakani kama Raisi.

Ulipiga simu live uwanjani,ambapo pamoja na kutoa Pongezi,lakini pia ulichangia kiasi cha Milioni 15.
Jambo la thawabu kusaidia wasio na uwezo na wenye mahitaji.

*siku iliyofuatia pale baada ya mechi,kiwanda chao kikaungua moto wenye chanzo tata mpaka sasa.

*Na siku moja kabla ya hiyo mechi ya hisani,kulikuwa na tukio la mmoja wa wakurugenzi GSM,
Kuhusika na ufyatuaji ovyo risasi,mbele ya maafisa Polisi,bila kuchukuliwa hatua.
Ilikuwa katika tukio la ugomvi wa kugombea eneo na jengo huko Mikocheni kati yao na Ex-RC Paul Makonda.

Movie iliendelea tena Jana pale uwanja wa Taifa.

GSM waliandaa na kuitumia mechi ya ligi kuu ya NBC-PREMIERE.
BainaYanga na KMC.

Kama tukio maalumu la kumpongeza Rais Samia kwa kutimiza mwaka mmoja madarakani.
Tukio lenye heri pia.

Yanga walicheza mechi ile wakivalia jezi maalumu zenye picha ya Samia
(Rais wa JMT [emoji1241]).

Hapo sijui sheria za FIFA na TFF zinasemaje kuhusu kuchanganya Michezo na Siasa.
Tuwaachie wenyewe kwa hilo.

Nimeyatumia hayo machache kama mfano.

Maoni yangu mimi!

Inavyoelekea hawa wanajaribu kutaka kuwa karibu na Ikulu kama walivyowahi kufanya huko nyuma,katika awamu ya nne.

Kipindi hicho wakijulikana kama Home Shopping Centre.
Bado tuna kumbukumbu na matukio yao.

Ikiwemo yale ya kupiga watu risasi hadharani wakiwemo wafanyakazi wao na hata wapita njia tu.

Haya mambo yalipelekea mmoja wa kaka wa huyo Gharib kuikimbia nchi baada ya ujio wa serikali ya awamu ya Tano ya JPM (R.I.P).
Na mpaka sasa yuko ughaibuni.

Waathirika wa matukio yao wapo mpaka sasa mitaani.

Kuanzia wa kashfa za makontena mpaka hao wa risasi miguuni.

Sasa wamerudi upya na nembo mpya ya GSM.

Mambo ya sasa na ya wakati ule wa HSC ni kama yanataka kujirudia kwa mtindo mpya.

Bado kuna mgogoro wa udhamini wa ligi kuu ya NBC-PREMIERE kati ya GSM na TFF Uko mezani.

Ambapo GSM wamejitoa na kuuvunja mkataba kinyemela huku wakiwa wamekwishazitumikisha timu za ligi kuu kwa miezi mitatu bila ya malipo,kama mkataba unavyotamka.

Hatujui kama washauri wa Ikulu na vyombo vya usalama haviwajibiki ipasavyo ili kuyaona haya na kun'gamua na kutoa ushauri pale mh Rais anapoelekea kupotoshwa namna hii.

Lakini ieleweke kwamba, kwa kutochukua hatua mapema na kujitenga na Uhuni.

Basi huko tuendako....kama ikitokea GSM wakachafuka kwa kashfa yoyote ile iwayo.

Hii pia Itakuwa inamhusu au kumchafua pia yeyote aliyeko madarakani kwa sasa,ambaye ataonekana kuwa nao karibu katika kipindi chake cha uongozi.
Kutokana na matukio kadhaa yatakayo waweka kuonekana kuwa karibu zaidi kwa jamii.

Naye atachafuka nao.......

Na itakuwa na gharama kubwa sana kujisafisha kwa wakati huo.........

Nimewakilisha kama....

commonmwananchi
10101.
umetumwa na bashite? au wewe ni sukumagang? mmekwisha habari yenu na katu hamtakuja kupewa tena hii nchi. tumeshawajua na hatuwezi kufanya makosa tena.
 
Riziwani alishawai singiziwa kuwa Petrol Stations zote za Lake Oil kuwa za kwake Ila cha kushangaza baada ya Mzee wake kuondoka madarakani tu hayo maneno yakafa kifo cha Mende

Tushawazoea watu wa kutunga na kusambaza uongo. Hamtudanganyi tena

Weka uthibitisho wa ubia wa Ridhiwani GSM hapa
Hata nyumba anayoishi Miraji kule Mikocheni ni ya GSM mkuu.

Tumsingizie ili tupate nini?

Mambo yao wanayafanya mbele za binadamu wenye macho na akili.
 
umetumwa na bashite? au wewe ni sukumagang? mmekwisha habari yenu na katu hamtakuja kupewa tena hii nchi. tumeshawajua na hatuwezi kufanya makosa tena.
Kwa hiyo kura za nchi hii zinashikiliwa na wahuni wa CCM na Msoga Gang!
 
trust me, baada ya ile miaka 6 ya jehanum ambapo watu waliishi kama mashetani, siku hizi ukitaja kitu kinaitwa sukumagang watu wanahisi kutapika. ni bora hata tungepata chaga gang kuliko mateso yale.


Watu km nyie ni 1% ya watanzania…
 
Iko hivi mdau. Vita iliyopo sasa baada ya Dkt Magufuli kufariki ni wauza madawa ya kulevya (GSM, Riziwani n.k. kulipiza visasi). Cha kwanza wanajiweka karibu na Ikulu. Cha pili wamejiwekea mkakati wa kuchukua hatamu za uongozi. Ktk kutumiza hayo Riziwani kawekwa kwenye ardhi ili kuhakikisha analipiza kisasi kwa kutoa hati miliki mpya kwa wale wote waliokuwa wanahusika na kushughulikia wauza madawa ya kulevya. Makonda na Musiba ni moja wapo na inawezekana wapo wengi ila si watu wa media. Mauaji makubwa yanatekelezwa kuanzia kwa wana usalama waliokuwa mstari wa mbele kupambana na madawa ya kulevya. Kwa ufupi genge la wauza madawa kwa sasa lina nguvu kuzidi lile la Zanzibar na Serikali ya Mama limeiweka mfukoni haiwezi kufurukuta.

Ila baada ya muda si mrefu, kuna serikali mpya itakuja. Hiyo serikali ikija itahakikisha inarejesha legacy ya Dkt Magufuli. Na katika kuhakikisha nchi inasimana hiyo serikali mpya ya mrengo wa Dkt Magufuli itawaua wahusika wa madawa wote (maana imepata funzo kupitia Serikali ya Mama) ili kuondoa makosa yaliyofanywa hapo nyuma ya kucheka na waharifu.


Daah vita kila sehemu ila hii haitangazwi km ya Ukraine na Russia
 
Iko hivi mdau. Vita iliyopo sasa baada ya Dkt Magufuli kufariki ni wauza madawa ya kulevya (GSM, Riziwani n.k. kulipiza visasi). Cha kwanza wanajiweka karibu na Ikulu. Cha pili wamejiwekea mkakati wa kuchukua hatamu za uongozi. Ktk kutumiza hayo Riziwani kawekwa kwenye ardhi ili kuhakikisha analipiza kisasi kwa kutoa hati miliki mpya kwa wale wote waliokuwa wanahusika na kushughulikia wauza madawa ya kulevya. Makonda na Musiba ni moja wapo na inawezekana wapo wengi ila si watu wa media. Mauaji makubwa yanatekelezwa kuanzia kwa wana usalama waliokuwa mstari wa mbele kupambana na madawa ya kulevya. Kwa ufupi genge la wauza madawa kwa sasa lina nguvu kuzidi lile la Zanzibar na Serikali ya Mama limeiweka mfukoni haiwezi kufurukuta.

Ila baada ya muda si mrefu, kuna serikali mpya itakuja. Hiyo serikali ikija itahakikisha inarejesha legacy ya Dkt Magufuli. Na katika kuhakikisha nchi inasimana hiyo serikali mpya ya mrengo wa Dkt Magufuli itawaua wahusika wa madawa wote (maana imepata funzo kupitia Serikali ya Mama) ili kuondoa makosa yaliyofanywa hapo nyuma ya kucheka na waharifu.
Acha kuchafua majina ya watu kwa tuhuma za uzushi na kutunga.
 
trust me, baada ya ile miaka 6 ya jehanum ambapo watu waliishi kama mashetani, siku hizi ukitaja kitu kinaitwa sukumagang watu wanahisi kutapika. ni bora hata tungepata chaga gang kuliko mateso yale.
Duh!..kali hii
 
Ni ushauri tu!

Kwa kasi sana tunaona wanavyojitahidi, kutengengeneza mazingira ya kukusogelea zaidi.

Walianza na Mechi ya kumchangia yule mtoto mgonjwa.

Na kwa mara ya kwanza tangu uingie madarakani kama Raisi.

Ulipiga simu live uwanjani,ambapo pamoja na kutoa Pongezi,lakini pia ulichangia kiasi cha Milioni 15.
Jambo la thawabu kusaidia wasio na uwezo na wenye mahitaji.

*siku iliyofuatia pale baada ya mechi,kiwanda chao kikaungua moto wenye chanzo tata mpaka sasa.

*Na siku moja kabla ya hiyo mechi ya hisani,kulikuwa na tukio la mmoja wa wakurugenzi GSM,
Kuhusika na ufyatuaji ovyo risasi,mbele ya maafisa Polisi,bila kuchukuliwa hatua.
Ilikuwa katika tukio la ugomvi wa kugombea eneo na jengo huko Mikocheni kati yao na Ex-RC Paul Makonda.

Movie iliendelea tena Jana pale uwanja wa Taifa.

GSM waliandaa na kuitumia mechi ya ligi kuu ya NBC-PREMIERE.
BainaYanga na KMC.

Kama tukio maalumu la kumpongeza Rais Samia kwa kutimiza mwaka mmoja madarakani.
Tukio lenye heri pia.

Yanga walicheza mechi ile wakivalia jezi maalumu zenye picha ya Samia
(Rais wa JMT [emoji1241]).

Hapo sijui sheria za FIFA na TFF zinasemaje kuhusu kuchanganya Michezo na Siasa.
Tuwaachie wenyewe kwa hilo.

Nimeyatumia hayo machache kama mfano.

Maoni yangu mimi!

Inavyoelekea hawa wanajaribu kutaka kuwa karibu na Ikulu kama walivyowahi kufanya huko nyuma,katika awamu ya nne.

Kipindi hicho wakijulikana kama Home Shopping Centre.
Bado tuna kumbukumbu na matukio yao.

Ikiwemo yale ya kupiga watu risasi hadharani wakiwemo wafanyakazi wao na hata wapita njia tu.

Haya mambo yalipelekea mmoja wa kaka wa huyo Gharib kuikimbia nchi baada ya ujio wa serikali ya awamu ya Tano ya JPM (R.I.P).
Na mpaka sasa yuko ughaibuni.

Waathirika wa matukio yao wapo mpaka sasa mitaani.

Kuanzia wa kashfa za makontena mpaka hao wa risasi miguuni.

Sasa wamerudi upya na nembo mpya ya GSM.

Mambo ya sasa na ya wakati ule wa HSC ni kama yanataka kujirudia kwa mtindo mpya.

Bado kuna mgogoro wa udhamini wa ligi kuu ya NBC-PREMIERE kati ya GSM na TFF Uko mezani.

Ambapo GSM wamejitoa na kuuvunja mkataba kinyemela huku wakiwa wamekwishazitumikisha timu za ligi kuu kwa miezi mitatu bila ya malipo,kama mkataba unavyotamka.

Hatujui kama washauri wa Ikulu na vyombo vya usalama haviwajibiki ipasavyo ili kuyaona haya na kun'gamua na kutoa ushauri pale mh Rais anapoelekea kupotoshwa namna hii.

Lakini ieleweke kwamba, kwa kutochukua hatua mapema na kujitenga na Uhuni.

Basi huko tuendako....kama ikitokea GSM wakachafuka kwa kashfa yoyote ile iwayo.

Hii pia Itakuwa inamhusu au kumchafua pia yeyote aliyeko madarakani kwa sasa,ambaye ataonekana kuwa nao karibu katika kipindi chake cha uongozi.
Kutokana na matukio kadhaa yatakayo waweka kuonekana kuwa karibu zaidi kwa jamii.

Naye atachafuka nao.......

Na itakuwa na gharama kubwa sana kujisafisha kwa wakati huo.........

Nimewakilisha kama....

commonmwananchi
10101.
Huko south africa waliita 'state capture'. Hadi leo kuna wahindi wameshitakiwa kwa kesi ya 'state capture'. Hapa kwetu sijui bado hatujaliona hilo. Unakuta wahindi au waarabu wanajipendekeza na kutumia hila za kuhonga hadi wanashika dola huku wananchi wakiendelea kufikiri ni chama ndio kinaongoza dola kumbe tajiri wa kiarabu.
Hao GSM ni hatari walianza huo mchezo awamu ya 4 awamu ya 5 jpm akawatolea mbali. Sasa wameanza upya 'state capture
Wanasheria wazalendo waanze kuweka ushahidi kwa nia ya kufungulia vigogo kesi ya rushwa na huyo muarabu kesi ya 'state capture'.
 
Acha chuki binafsi..acha kuwa kibaraka wa makonda..Sasa mambo ya yanga..GSM anaingiaje wewe kitoko mororo
 
Ni ushauri tu!

Kwa kasi sana tunaona wanavyojitahidi, kutengengeneza mazingira ya kukusogelea zaidi.

Walianza na Mechi ya kumchangia yule mtoto mgonjwa.

Na kwa mara ya kwanza tangu uingie madarakani kama Raisi.

Ulipiga simu live uwanjani,ambapo pamoja na kutoa Pongezi,lakini pia ulichangia kiasi cha Milioni 15.
Jambo la thawabu kusaidia wasio na uwezo na wenye mahitaji.

*siku iliyofuatia pale baada ya mechi,kiwanda chao kikaungua moto wenye chanzo tata mpaka sasa.

*Na siku moja kabla ya hiyo mechi ya hisani,kulikuwa na tukio la mmoja wa wakurugenzi GSM,
Kuhusika na ufyatuaji ovyo risasi,mbele ya maafisa Polisi,bila kuchukuliwa hatua.
Ilikuwa katika tukio la ugomvi wa kugombea eneo na jengo huko Mikocheni kati yao na Ex-RC Paul Makonda.

Movie iliendelea tena Jana pale uwanja wa Taifa.

GSM waliandaa na kuitumia mechi ya ligi kuu ya NBC-PREMIERE.
BainaYanga na KMC.

Kama tukio maalumu la kumpongeza Rais Samia kwa kutimiza mwaka mmoja madarakani.
Tukio lenye heri pia.

Yanga walicheza mechi ile wakivalia jezi maalumu zenye picha ya Samia
(Rais wa JMT [emoji1241]).

Hapo sijui sheria za FIFA na TFF zinasemaje kuhusu kuchanganya Michezo na Siasa.
Tuwaachie wenyewe kwa hilo.

Nimeyatumia hayo machache kama mfano.

Maoni yangu mimi!

Inavyoelekea hawa wanajaribu kutaka kuwa karibu na Ikulu kama walivyowahi kufanya huko nyuma,katika awamu ya nne.

Kipindi hicho wakijulikana kama Home Shopping Centre.
Bado tuna kumbukumbu na matukio yao.

Ikiwemo yale ya kupiga watu risasi hadharani wakiwemo wafanyakazi wao na hata wapita njia tu.

Haya mambo yalipelekea mmoja wa kaka wa huyo Gharib kuikimbia nchi baada ya ujio wa serikali ya awamu ya Tano ya JPM (R.I.P).
Na mpaka sasa yuko ughaibuni.

Waathirika wa matukio yao wapo mpaka sasa mitaani.

Kuanzia wa kashfa za makontena mpaka hao wa risasi miguuni.

Sasa wamerudi upya na nembo mpya ya GSM.

Mambo ya sasa na ya wakati ule wa HSC ni kama yanataka kujirudia kwa mtindo mpya.

Bado kuna mgogoro wa udhamini wa ligi kuu ya NBC-PREMIERE kati ya GSM na TFF Uko mezani.

Ambapo GSM wamejitoa na kuuvunja mkataba kinyemela huku wakiwa wamekwishazitumikisha timu za ligi kuu kwa miezi mitatu bila ya malipo,kama mkataba unavyotamka.

Hatujui kama washauri wa Ikulu na vyombo vya usalama haviwajibiki ipasavyo ili kuyaona haya na kun'gamua na kutoa ushauri pale mh Rais anapoelekea kupotoshwa namna hii.

Lakini ieleweke kwamba, kwa kutochukua hatua mapema na kujitenga na Uhuni.

Basi huko tuendako....kama ikitokea GSM wakachafuka kwa kashfa yoyote ile iwayo.

Hii pia Itakuwa inamhusu au kumchafua pia yeyote aliyeko madarakani kwa sasa,ambaye ataonekana kuwa nao karibu katika kipindi chake cha uongozi.
Kutokana na matukio kadhaa yatakayo waweka kuonekana kuwa karibu zaidi kwa jamii.

Naye atachafuka nao.......

Na itakuwa na gharama kubwa sana kujisafisha kwa wakati huo.........

Nimewakilisha kama....

commonmwananchi
10101.
Naunga mkono hoja. GSM watamchafua Rais akiwaendekeza. Kaa nao mbali siyo watu wazuri wala waaminifu.
 
Iko hivi mdau. Vita iliyopo sasa baada ya Dkt Magufuli kufariki ni wauza madawa ya kulevya (GSM, Riziwani n.k. kulipiza visasi). Cha kwanza wanajiweka karibu na Ikulu. Cha pili wamejiwekea mkakati wa kuchukua hatamu za uongozi. Ktk kutumiza hayo Riziwani kawekwa kwenye ardhi ili kuhakikisha analipiza kisasi kwa kutoa hati miliki mpya kwa wale wote waliokuwa wanahusika na kushughulikia wauza madawa ya kulevya. Makonda na Musiba ni moja wapo na inawezekana wapo wengi ila si watu wa media. Mauaji makubwa yanatekelezwa kuanzia kwa wana usalama waliokuwa mstari wa mbele kupambana na madawa ya kulevya. Kwa ufupi genge la wauza madawa kwa sasa lina nguvu kuzidi lile la Zanzibar na Serikali ya Mama limeiweka mfukoni haiwezi kufurukuta.

Ila baada ya muda si mrefu, kuna serikali mpya itakuja. Hiyo serikali ikija itahakikisha inarejesha legacy ya Dkt Magufuli. Na katika kuhakikisha nchi inasimana hiyo serikali mpya ya mrengo wa Dkt Magufuli itawaua wahusika wa madawa wote (maana imepata funzo kupitia Serikali ya Mama) ili kuondoa makosa yaliyofanywa hapo nyuma ya kucheka na waharifu.
Wacha kuandika hadithi za alinacha. Magufuli anaoza huko hatorudi tena. Legacy gani Magufuli kaacha zaidi ya kutuharibia uchumi na kutugawa kiitikadi na kikabila
 
Watu km nyie ni 1% ya watanzania…
tunashukuru kwa mema aliyotutendea, hakuwa malaika hata apatie kila kitu. ila tuliambiwa tutaishi kama mashetani, na ukweli ni kwamba watz waliishi kama mashetani. hata wewe uliishi kama shetani. pesa kwenye mzunguko hakuna, unaishi kwa hofu hauna uhuru wowote. au umesahau? afu kila msukuma alikuwa anajifanya TISS.
 
Kwa hali hiyo umwambie ajitenge na JK, Kojan gang, Msoga gang na pia chama chake cha ccm! Jambo ambalo haliwezekani hata kidogo.
Ni ushauri tu!

Kwa kasi sana tunaona wanavyojitahidi, kutengengeneza mazingira ya kukusogelea zaidi.

Walianza na Mechi ya kumchangia yule mtoto mgonjwa.

Na kwa mara ya kwanza tangu uingie madarakani kama Raisi.

Ulipiga simu live uwanjani,ambapo pamoja na kutoa Pongezi,lakini pia ulichangia kiasi cha Milioni 15.
Jambo la thawabu kusaidia wasio na uwezo na wenye mahitaji.

*siku iliyofuatia pale baada ya mechi,kiwanda chao kikaungua moto wenye chanzo tata mpaka sasa.

*Na siku moja kabla ya hiyo mechi ya hisani,kulikuwa na tukio la mmoja wa wakurugenzi GSM,
Kuhusika na ufyatuaji ovyo risasi,mbele ya maafisa Polisi,bila kuchukuliwa hatua.
Ilikuwa katika tukio la ugomvi wa kugombea eneo na jengo huko Mikocheni kati yao na Ex-RC Paul Makonda.

Movie iliendelea tena Jana pale uwanja wa Taifa.

GSM waliandaa na kuitumia mechi ya ligi kuu ya NBC-PREMIERE.
BainaYanga na KMC.

Kama tukio maalumu la kumpongeza Rais Samia kwa kutimiza mwaka mmoja madarakani.
Tukio lenye heri pia.

Yanga walicheza mechi ile wakivalia jezi maalumu zenye picha ya Samia
(Rais wa JMT [emoji1241]).

Hapo sijui sheria za FIFA na TFF zinasemaje kuhusu kuchanganya Michezo na Siasa.
Tuwaachie wenyewe kwa hilo.

Nimeyatumia hayo machache kama mfano.

Maoni yangu mimi!

Inavyoelekea hawa wanajaribu kutaka kuwa karibu na Ikulu kama walivyowahi kufanya huko nyuma,katika awamu ya nne.

Kipindi hicho wakijulikana kama Home Shopping Centre.
Bado tuna kumbukumbu na matukio yao.

Ikiwemo yale ya kupiga watu risasi hadharani wakiwemo wafanyakazi wao na hata wapita njia tu.

Haya mambo yalipelekea mmoja wa kaka wa huyo Gharib kuikimbia nchi baada ya ujio wa serikali ya awamu ya Tano ya JPM (R.I.P).
Na mpaka sasa yuko ughaibuni.

Waathirika wa matukio yao wapo mpaka sasa mitaani.

Kuanzia wa kashfa za makontena mpaka hao wa risasi miguuni.

Sasa wamerudi upya na nembo mpya ya GSM.

Mambo ya sasa na ya wakati ule wa HSC ni kama yanataka kujirudia kwa mtindo mpya.

Bado kuna mgogoro wa udhamini wa ligi kuu ya NBC-PREMIERE kati ya GSM na TFF Uko mezani.

Ambapo GSM wamejitoa na kuuvunja mkataba kinyemela huku wakiwa wamekwishazitumikisha timu za ligi kuu kwa miezi mitatu bila ya malipo,kama mkataba unavyotamka.

Hatujui kama washauri wa Ikulu na vyombo vya usalama haviwajibiki ipasavyo ili kuyaona haya na kun'gamua na kutoa ushauri pale mh Rais anapoelekea kupotoshwa namna hii.

Lakini ieleweke kwamba, kwa kutochukua hatua mapema na kujitenga na Uhuni.

Basi huko tuendako....kama ikitokea GSM wakachafuka kwa kashfa yoyote ile iwayo.

Hii pia Itakuwa inamhusu au kumchafua pia yeyote aliyeko madarakani kwa sasa,ambaye ataonekana kuwa nao karibu katika kipindi chake cha uongozi.
Kutokana na matukio kadhaa yatakayo waweka kuonekana kuwa karibu zaidi kwa jamii.

Naye atachafuka nao.......

Na itakuwa na gharama kubwa sana kujisafisha kwa wakati huo.........

Nimewakilisha kama....

commonmwananchi
10101.
Kuhusu kuchanganya siasa na mpira, FIFA hawana uhalali wa kulisemea hilo japo imeandikwa hivyo katika Katiba yao. Ona jinsi walivyokiuka Katiba yao kwa suala la Urusi na kwa kutoifanya cho chote Uingereza ilipoingilia kifedhuli umiliki wa Chelsea na raia wa Urusi. Fifa wamejidhalilisha kabisa kwa kuwakenulia meno wakubwa wanaposema kitu na kufuata katiba pale tu wadogo wakikosea.
Kuhusu Yanga kumtumia Rais Samia, sijui kama hilo ni kosa kama Rais ni mkereketwa wao. Ni sawa na Wakristu wapige kelele kupinga Rais Samia kwenda msikitini kwa kisingizio kwamba nchi haina dini. Vivyo hivyo Simba hawana uhalali wa kuuliza maswali kuhusu Rais kuegemea Yanga kwa kisingizio kwamba yeye ni Rais wa nchi.
 
Ni ushauri tu!

Kwa kasi sana tunaona wanavyojitahidi, kutengengeneza mazingira ya kukusogelea zaidi.

Walianza na Mechi ya kumchangia yule mtoto mgonjwa.

Na kwa mara ya kwanza tangu uingie madarakani kama Raisi.

Ulipiga simu live uwanjani,ambapo pamoja na kutoa Pongezi,lakini pia ulichangia kiasi cha Milioni 15.
Jambo la thawabu kusaidia wasio na uwezo na wenye mahitaji.

*siku iliyofuatia pale baada ya mechi,kiwanda chao kikaungua moto wenye chanzo tata mpaka sasa.

*Na siku moja kabla ya hiyo mechi ya hisani,kulikuwa na tukio la mmoja wa wakurugenzi GSM,
Kuhusika na ufyatuaji ovyo risasi,mbele ya maafisa Polisi,bila kuchukuliwa hatua.
Ilikuwa katika tukio la ugomvi wa kugombea eneo na jengo huko Mikocheni kati yao na Ex-RC Paul Makonda.

Movie iliendelea tena Jana pale uwanja wa Taifa.

GSM waliandaa na kuitumia mechi ya ligi kuu ya NBC-PREMIERE.
BainaYanga na KMC.

Kama tukio maalumu la kumpongeza Rais Samia kwa kutimiza mwaka mmoja madarakani.
Tukio lenye heri pia.

Yanga walicheza mechi ile wakivalia jezi maalumu zenye picha ya Samia
(Rais wa JMT [emoji1241]).

Hapo sijui sheria za FIFA na TFF zinasemaje kuhusu kuchanganya Michezo na Siasa.
Tuwaachie wenyewe kwa hilo.

Nimeyatumia hayo machache kama mfano.

Maoni yangu mimi!

Inavyoelekea hawa wanajaribu kutaka kuwa karibu na Ikulu kama walivyowahi kufanya huko nyuma,katika awamu ya nne.

Kipindi hicho wakijulikana kama Home Shopping Centre.
Bado tuna kumbukumbu na matukio yao.

Ikiwemo yale ya kupiga watu risasi hadharani wakiwemo wafanyakazi wao na hata wapita njia tu.

Haya mambo yalipelekea mmoja wa kaka wa huyo Gharib kuikimbia nchi baada ya ujio wa serikali ya awamu ya Tano ya JPM (R.I.P).
Na mpaka sasa yuko ughaibuni.

Waathirika wa matukio yao wapo mpaka sasa mitaani.

Kuanzia wa kashfa za makontena mpaka hao wa risasi miguuni.

Sasa wamerudi upya na nembo mpya ya GSM.

Mambo ya sasa na ya wakati ule wa HSC ni kama yanataka kujirudia kwa mtindo mpya.

Bado kuna mgogoro wa udhamini wa ligi kuu ya NBC-PREMIERE kati ya GSM na TFF Uko mezani.

Ambapo GSM wamejitoa na kuuvunja mkataba kinyemela huku wakiwa wamekwishazitumikisha timu za ligi kuu kwa miezi mitatu bila ya malipo,kama mkataba unavyotamka.

Hatujui kama washauri wa Ikulu na vyombo vya usalama haviwajibiki ipasavyo ili kuyaona haya na kun'gamua na kutoa ushauri pale mh Rais anapoelekea kupotoshwa namna hii.

Lakini ieleweke kwamba, kwa kutochukua hatua mapema na kujitenga na Uhuni.

Basi huko tuendako....kama ikitokea GSM wakachafuka kwa kashfa yoyote ile iwayo.

Hii pia Itakuwa inamhusu au kumchafua pia yeyote aliyeko madarakani kwa sasa,ambaye ataonekana kuwa nao karibu katika kipindi chake cha uongozi.
Kutokana na matukio kadhaa yatakayo waweka kuonekana kuwa karibu zaidi kwa jamii.

Naye atachafuka nao.......

Na itakuwa na gharama kubwa sana kujisafisha kwa wakati huo.........

Nimewakilisha kama....

commonmwananchi
10101.
Mi ni shabiki wa Yanga kindakindaki lakini hawa GSM ni wahalifu toka zamani hawana historia nzuri, na kuna picha zilizagaa miaka ya nyuma mwenzao sijui mtoto wao au nani alipiga mapicha na mabastola kibao, barabarani tena kama sikosei Njia ya kwenda Moro, yaani ni shida!!
 
Back
Top Bottom