JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Hapa upo sawa.Kiapo cha urais sio mzaha. Haiwezekani kuendesha nchi kimzahamzaha.
Hapa upo sawa.Kiapo cha urais sio mzaha. Haiwezekani kuendesha nchi kimzahamzaha.
Amekosea vipi kuyatamka wakati kwenye ile hotuba amesema kuwa ile ni mara ya pili anasema maneno yale?Kama alilenga kutoa onyo basi sidhani kama ilitoka moyoni. nilioona mimi Rais anajua kabisa mawaziri na manaibu ni wapigaji, sasa anachowaambia wasipige sana, na yeye hana shida na hilo kama watapiga ila wasizidishe na kuvimbiwa. Maneno ambayo naona kama Rais wetu mpendwa alikosea kuyatamka.
Yale siyo matamshi tu bali ni msimamo wa serikali yake kwa kuwa kwenye ile hotuba amedai kuwa ni mara ya pili anasisitiza jambo lile.Msikilize hapo mwanzo anapoanza.Alikosea ni kweli... hakupaswa kutoa yale matamshi
Kwa hili hata mimi ni shahidi, nimetuma proposal kibao, maoni mpaka nimekatatamaa...Hakuna mwenye kujali raia kila mtu anatengeneza fellowship yake ya kumaliza matatizo yake binafsi, nchi ni second to personal interets....Acha ni nukuu neno la Mungu kwa wale ambao wanakaribia kukata tamaa kama mimi.Je unadhani Watanzania wote ni la Saba C???
Miaka 60 hakuna maji wala umeme, huduma za afya ni kwa msaada wa wafadhili, barabara tumejengewa kwa msaada au mikopo, niliwahi sikia hata nyumba kuu pale Dom ni kwa msaada wa mchina.
Hata uwe na proposal nzuri kiasi gani au hata aje nayo mmarekani; bila ya 10% hakuna kigogo anayetia sahihi.
Kuna mtu aliwahi sema kuwa CCM ni sawa na ukoo wa panya.
Mama ametukumbusha ukweli kuwa ukiona mradi unasusua jua w
akubwa wajipimia zote.
Samia ni jipu kuuuuubwa ambalo lisipotumbuliwa mapema, litakuja kutuletea maafa makubwa sana hapa Wilayani Kivu ya Mashariki.Rais Samia, jana akiongea na mawaziri aliwaambia wajipimie ila wasivimbiwe tena mbele ya TV ya umma. Nilipigwa na butwaa ila nikahisi mambo yafuatayo.
1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?
2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.
Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.
Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.
VEDIO HII HAPA
Sio laana ya kumtundulissu Magufuli ?Hangaya hii video kaonesha ni Utopolo hatari hii ni laana ya Ndugai
Kama ni papa itapelekewa moto hadi iombe pooo, kudadekiiiNdiyo maana'ake!
Hatari sana hii..
Shamba la bibi litachakazwa mno
Form Four failure cant make a good presidentMimi nataka kujua chief Hangaya yeye anajipimia ngapi au keshavimbiwa mara ngapi? mimi naona ana struggle for acceptance kutaka kumplease kila mtu ndio matokeo yake hayo unaongea utumbo
Upuuzi wakiwango cha UtopoloSerikali inaongozwa na MWANADAMU na si MUNGU......
Mwanadamu huyo anawakumbusha WATENDAJI KUSIMAMIA VIAPO VYAO vifuatavyo........
1)Kutoingiliana katika majukumu ya mipaka ya kazi zao....kazi yoyote ina maslahi binafsi na Yale makuu zaidi(kutoa huduma kwa jamii)
2)Kutochafuana ,kubagazana na kufitiniana kwa kiongozi mkuu(kwenda kusema kwa mama)
Mh.SSH amefafanua vyema tu ila baadhi yetu tumeamua kufanya UPOTOSHAJI WA MAKUSUDI.....
#Siempre JMT🙏
🤣🤣🤣Wapemba kule walipelekewa waburundi
Wana polisi, wana jeshi, usalama wa taifa. Huwezi kuiondoa CCM kwa kura za uchaguzi. Ingekuwa kura zinaondoa CCM ingekuwa chama pinzani miaka mingi
Usahihi wake ni upi?Mimi naona Mh.Raisi yuko sahihi.
Kosa ni kuitoa hii kauli kwa Wananch.
Ikulu wajitokeze haraka kusafisha hali ya hewa.
Kumtetea Rais Samia ni kazi sana...Rais Samia, jana akiongea na mawaziri aliwaambia wajipimie ila wasivimbiwe tena mbele ya TV ya umma. Nilipigwa na butwaa ila nikahisi mambo yafuatayo.
1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?
2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.
Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.
Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.
VEDIO HII HAPA
Mkuu upo sahihi asilimia mia moja.Anauza nchi in expense ya yeye kutokujiamini katika uongozi wake.mimi naona ana struggle for acceptance kutaka kumplease kila mtu ndio matokeo yake hayo unaongea utumbo
Jipimiee....Chama cha hovyo sana, Chama Cha Mazuzu