Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 2,668
- 4,888
Business as usual , ngoja tuone waache wafu wazike wafu wao
MshaharaWanachopata kipi hicho?
Ipo fixed. Ujumbe ni wao wawe ni watu wenye kuridhika, tamaa inaua. Mama ni mtu wa mwambao anatumia zaidi kiswahili chenye 'tafsida', lugha ya uficho.Kwani mishahara ni jambo la mtu kujipimia au ipo fixed kwa mujibu wa sheria?
Hawakumuelewa na wewe hukumuelewa. Angekuwa na maana hiyo hawa wakurugenzi waliotenguliwa teuzi zao wasingetenguliwa.No!Samia alikuwa anazungumzia jinsi fedha za miradi zinavyotafunwa hadi miradi inakwama na malalamiko yake yalikuwa ni kwamba wanazitafuna sana inabidi waanze kuzitafuna kwa staha(kujipimia) ili kunusuru miradi.View attachment 2108506
Msimamo wake ungekuwa ni kuruhusu rushwa kama unavyotaka ionekane asingewafukuza kazi, angeruhusu rushwa iendelee. Hili suala ni dogo sana ni la uelewa tu.What if hao wakurugenzi walikula hadi wakavimbiwa?Kwa sababu msimamo wa Samia ni watu watafune ila mradi wasivimbiwe.Labda wakurugenzi walivimbiwa.
Angekuwa karuhusu rushwa hao wakurugenzi wanne wasingefukuzwa kazi mkuu.Kama ninavyotaka?Yaani Samia adai watu wake wajipimie halafu unadai kwamba mimi ndiye nataka Samia aruhusu rushwa?!Samia amesharuhusu rushwa halafu unadai kwruamba mimi ndiye nataka aruhusu rushwa?!
Unao ushahidi wa kuvimbiwa kwao au ni story za kujifurahisha? , kumbuka rais ni mamlaka ya juu kupita zote nchini anazo taarifa zote zenye kuwahusu wakurugenzi na taasisi nyinginezo za kiserikali.Nimeshakuambia kuwa wakurugenzi wanne walivimbiwa ila nashangaa bado unarudia kitu hichohicho.
Kauli ya rais na uelewa wako ni vitu viwili tofauti kabisa.Ushahidi ni kauli ya Rais aliyosema kuwa hataki watendaji wake wavimbiwe bali wajipimie,kwa hiyo kama kuna aliowatumbua maana yake ni kwamba wameenda kinyume na kauli hiyo kwa kuvimbiwa kwa sababu kama wangejipimia maana yake kwa maelezo ya Rais wangekuwa salama.
Huyu ni mpaka 2025 kwa hapa TZ Mungu akipenda. Tafuta rais wa kwako kutoka akilini mwako ndio umpangie namna ya kuongoza nchi ya kufikirika.Hakuna Rais duniani ambae anapaswa kuongea kwa mafumbo.Marais wanapaswa kuongea moja kwa moja bila mafumbo ili kila mtu hadi watoto wadogo na watu ambao hawajaenda shule waelewe kauli ya Rais na ndicho alichofanya Samia.
Na pia hao wakurugenzi wanne walipiga jumla jumla bila hata kupeleka mgao kwa mama. Ndio maana kawatumbua. Yaani walikula, wakala hadi kuvimbiwa na kile ambacho kilitakiwa kimrudie mama nacho wakakipiga. Hatari sanaUshahidi ni kauli ya Rais aliyosema kuwa hataki watendaji wake wavimbiwe bali wajipimie,kwa hiyo kama kuna aliowatumbua maana yake ni kwamba wameenda kinyume na kauli hiyo kwa kuvimbiwa kwa sababu kama wangejipimia maana yake kwa maelezo ya Rais wangekuwa salama.
Mungu akipenda.Siyo mpaka 2030?🐒🐒🐒