😀 😀 😀 Mbona wengi tu mule washavembewa tayari. Kina naniliu, huwaoni.Wakivimbiwa watachafua hali ya hewa.
Simple!
Kura wanaiba na ni lazima wajitangaze washindi, uwape au usiwape kura haibadilishi chochoteHivi tunapoenda kupiga kura na kuwapa ulaji hawa tutayakumbuka haya maudhi na dharau zao?!
Mkuu umeandika kinyonge sana..😑😑Kuleni sana lakini msivimbiwe. Na kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake na muelewane, najua mnakula sana lakini kuleni taratibu.
Kweli mkuu kuna uzanzibari hapa ambao sisi wabongo hatujui kitu??
Hatarii sana aisee. Acha walio juu waendelee kuneemeka mpaka 2025 tuwape tena hadi 2030 na kuendelea na kuendelea
... huo ni mtazamo wako usilamishe kila mtu aelewe ulivyoelewa wewe! Rais alikuwa very clear, nanukuu,Mkisikia ^kula^ tu mnajua ni ufisadi? Najua fika kwamba utawala huu ni ponga katika suala la matumizi ya mali za umma na udhibiti wa pesa, kuliko ile ya JPM, lakini hapa Bi Mikopo anamaanisha matumizi ya mamlaka. Watendaji wake ""wasiingiliane na kugombana katika kutekeleza majukumu ya ^sirikali.^
Don't be so closed-minded. Anyweiz, politics inatendensi ya kukapitolaizi kwenye mambo tata na seemingly negative.
... watu wengine kwa kujitoa ufahamu hawaoni tatizo! Kauli ile inatakiwa iombewe msamaha na mhusika mwenyewe aliyeitoa; na sio wapambe kujifanya kuitolea "ufafanuzi".Acha kujipa upofu na kujilazimisha kuwa mpumbavu.
Samia ametoa mifano mingi jinsi miradi inavyokuwa haikamiliki kutokana na ufisadi uliopitiliza(Kula hadi kuvimbiwa) na ametoa mifano ya miradi ya meli pamoja na barabara.Halafu unadai kuwa hazungumzii ufisadi?!
Unavyojilazimisha kuwa mpumbavu unapata faida gani?
View attachment 2081340
Mkuu ile kauli haiwezekani mhusika aiombee msamaha kwa sababu ukiangalia hii hotuba yake hapo mwanzoni kabisa anadai kuwa ni mara ya pili anatoa ule msimamo/kauli.Hii maana yake ni kwamba alichokisema ndiyo msimamo wa serikali yake.... watu wengine kwa kujitoa ufahamu hawaoni tatizo! Kauli ile inatakiwa iombewe msamaha na mhusika mwenyewe aliyeitoa; na sio wapambe kujifanya kuitolea "ufafanuzi".
Iko wazi waibe lakini wasizidishe!! Disgusting what a leader!!??Lilikuwa ni onyo la tabia za kifisadi zilizoshamiri tangu 2010 to 2020 ambazo hazijawahi kuachwa. 2015 to 2020 hazikuzungumzwa tu ila zilikuwepo za kibabe.
Hata hivyo ametoa onyo very weak, ukisha amua kuweka udhaifu wa mtendaji wazi ni umemshtaki kwa jamii basi unatakiwa umuwajibishe, kinyume na hapo muite faragha muonye. Sasa hapa tunajua kuwa kuna mawaziri walafi ila wanatakiwa wajipime wenyewe.
Tunahitaji mpango mkakati bora wa kudhibiti utendaji wa serikali.
Kama niliwahi kuonesha japo chembe ya imani kwa SSH; naomba nikiri nilikosa mimi na nilikosea sana. Naomba mnisamee!Rais Samia, jana akiongea na mawaziri aliwaambia wajipimie ila wasivimbiwe tena mbele ya TV ya umma. Nilipigwa na butwaa ila nikahisi mambo yafuatayo.
1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?
2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.
Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.
Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.
VEDIO HII HAPA
Hata akiomba msamaha ndo kaongea ya moyoniHii kauli inauma sana.
Wajipimie kiasi gani?
100Mil.
600Mil.
1Bil.
100Bil.
200Bil.
..........?
Halafu mwenye kamba ndefu zaidi(Rais)
atakula sh.ngapi?.
Tunampenda sana Mheshimiwa Samia,Ila kwa kauli hii ni vyema akaomba msamaha.
History ina tabia ya kujirudia. Mzee Mwinyi alitoa RUKSA sasa SSH naye ametoa RUKSA. Nadhani hii itazua yafuatayo:-Rais Samia, jana akiongea na mawaziri aliwaambia wajipimie ila wasivimbiwe tena mbele ya TV ya umma. Nilipigwa na butwaa ila nikahisi mambo yafuatayo.
1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?
2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.
Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.
Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.
VEDIO HII HAPA
Wamefukuzwa kazi wakurugenzi wanne wa halmashauri nne. Nadhani unaitafsiri vibaya maana ya hiyo video, au unafanya kisiasa zaidi ukiwa humpendi SSH.Acha kujipa upofu na kujilazimisha kuwa mpumbavu.
Samia ametoa mifano mingi jinsi miradi inavyokuwa haikamiliki kutokana na ufisadi uliopitiliza(Kula hadi kuvimbiwa) na ametoa mifano ya miradi ya meli pamoja na barabara.Halafu unadai kuwa hazungumzii ufisadi?!
Unavyojilazimisha kuwa mpumbavu unapata faida gani?
View attachment 2081340
Ni suala la uadilifu linaongelewa. Kujipimia ni kuridhika na unachokipata. Wabongo kama kawaida yetu tunatafsiri vibaya hotuba za wanasiasa.