Rais Samia : Gharama za Bando Kushuka kwa Lazima

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakatai wakati wa utiaji saini mikataba ya upelekaji huduma za mawasiliano nchini kati ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na watoa huduma za mawasiliano uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete amesema kuwa gharama za bando nchini zitapungua kwa lazima

Rais Samia ameitaka Wakala wa Umeme Vijijini (REA) kuhakikisha inapeleka umeme katika maeneo yote yanayowekwa minara kwani kwa kufanya hivyo gharama ya kufanya kazi kwa mnara mmoja itapungua kutoka Milioni 1.8 hadi Laki Nne jambo litakalopelekea bando kushuka na amesisitiza kama lisiposhuka basi Serikali itajua namna ya kukamatana na watoa huduma
 
Hizo ni drama tu kwani kipindi chote hicho ye alikuwa hajui?

Malalamiko ya wananchi tuliyopaza mpaka yule waziri akasema tutimkie Burundi ina maana ye hakuyasikia?

Politics ni polifix
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakatai wakati wa utiaji saini mikataba ya upelekaji huduma za mawasiliano nchini kati ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na watoa huduma za mawasiliano uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete amesema kuwa gharama za bando nchini zitapungua kwa lazima

Rais Samia ameitaka Wakala wa Umeme Vijijini (REA) kuhakikisha inapeleka umeme katika maeneo yote yanayowekwa minara kwani kwa kufanya hivyo gharama ya kufanya kazi kwa mnara mmoja itapungua kutoka Milioni 1.8 hadi Laki Nne jambo litakalopelekea bando kushuka na amesisitiza kama lisiposhuka basi Serikali itajua namna ya kukamatana na watoa huduma
Bando lilipaaa kwa sababu ya kuongeza tozo leo analeta ishu za REA

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Samia : Gharama za Bando Kushuka kwa Lazima

Aaah wapi hii ni ndoto ya asubuhi yaan GB 1 tuuziwe kwa 250/- haitokuja itokee kamwe, hayo makampuni hayawezi kukubari kamwe wanachotaka ni kutengeneza faida maradufu hawawezi kushusha gharama kisha wao wakaingia hasara kwa kisingizio Cha Kodi
 
Bando la nini sasa umeme au nini maana habari yenyewe ni goli la mkono
Walikua wanazindua mikonga ya simu inayoenda kupachikwa vijijini kooote na wameingia ubia na makampuni ya simu wameyalipa mabillion mkuu hukufuatilia TBC mchana ?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakatai wakati wa utiaji saini mikataba ya upelekaji huduma za mawasiliano nchini kati ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na watoa huduma za mawasiliano uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete amesema kuwa gharama za bando nchini zitapungua kwa lazima

Rais Samia ameitaka Wakala wa Umeme Vijijini (REA) kuhakikisha inapeleka umeme katika maeneo yote yanayowekwa minara kwani kwa kufanya hivyo gharama ya kufanya kazi kwa mnara mmoja itapungua kutoka Milioni 1.8 hadi Laki Nne jambo litakalopelekea bando kushuka na amesisitiza kama lisiposhuka basi Serikali itajua namna ya kukamatana na watoa huduma
Yule waziri bishoo anasubiri mpaka Rais ainukeina maana hana analofanya
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakatai wakati wa utiaji saini mikataba ya upelekaji huduma za mawasiliano nchini kati ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na watoa huduma za mawasiliano uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete amesema kuwa gharama za bando nchini zitapungua kwa lazima

Rais Samia ameitaka Wakala wa Umeme Vijijini (REA) kuhakikisha inapeleka umeme katika maeneo yote yanayowekwa minara kwani kwa kufanya hivyo gharama ya kufanya kazi kwa mnara mmoja itapungua kutoka Milioni 1.8 hadi Laki Nne jambo litakalopelekea bando kushuka na amesisitiza kama lisiposhuka basi Serikali itajua namna ya kukamatana na watoa huduma
Very clear and BOLD
Hili tatizo wamelitengeneza na sasa wanatafuta mlango wa kuingilia ili drama za 2025 zisiwe nyingi
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakatai wakati wa utiaji saini mikataba ya upelekaji huduma za mawasiliano nchini kati ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na watoa huduma za mawasiliano uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete amesema kuwa gharama za bando nchini zitapungua kwa lazima

Rais Samia ameitaka Wakala wa Umeme Vijijini (REA) kuhakikisha inapeleka umeme katika maeneo yote yanayowekwa minara kwani kwa kufanya hivyo gharama ya kufanya kazi kwa mnara mmoja itapungua kutoka Milioni 1.8 hadi Laki Nne jambo litakalopelekea bando kushuka na amesisitiza kama lisiposhuka basi Serikali itajua namna ya kukamatana na watoa huduma

Hiyo minara kwanini kila Kampuni inaweka minara yate badala ya haya makampuni kushirikiana? Wakishirikiana sio tu gharama zitapungua bali hata uchafuzi wa mazingira unaoletwa na utitili wa hii minara nchi nzima utapungua!
Mnapokuwa huko nchi za wenzenu hamjiulizi kwanini hamuoni utitili wa minara ya Simu ?
 
Back
Top Bottom