acha povu,kamuua nani?Tofauti wanayo kubwa sana mwendakuzimu alikuwa liuaji na jizi
chabemokrasiaYeye siyo muuaji na mpenda sifa Kama Magufuli wenu.
Jambo usilolijua .....................Mmoja hapo alikuwa muuaji,kwaiyo hakuna wakufanananae
mabadiliko yatawakuta wakiwa benchiSasa kuna sababu gani ya kutumbua mtu wakati unakaribia kufanya mabadiliko nchi nzima.
labda apewe ukuu wa PAROLEKijana kama Pascal Mayalla na yaye lazima awemo kwenye huo mkeka wa Mama
Anataka kutuletea akina Sabaya tena?Rais Samia kawatumbua kwa kuwashambulia Machinga mtaani mkoani Morogoro.
Aliyetumbuliwa ni Bakari Msulwa Mkuu wa wa Wilaya ya Morogoro na Sheilla Lukuba Mkurugenzi Morogoro. NI kutokana na Mgambo kuwapiga Machinga.
Pia amesisitiza ajira zote zinazokuja za Ma-DC zijazo zitakuwa za vijana.
kwa nn mkuuAnataka kutuletea akina Sabaya tena?
Huyo ni nyumbu mkuu1Wenye vichwa vyenye kumbukumbu ndogo changieni kule kwenye jukwaa la mapenzi. Munachafua siasa zetu bhana! Kabwe alitumbuliwa kwa sababu gani pale Dar? Mkuu wa wilaya ya Kahama, Fadhili Nkurlu alitumbuliwa kwa sababu gani?
Umesahau mama yetu samia haui watuUsilazimishe wafanane
1. Samia hateki watu
2. Samia hafokei watu
3. Samia anatambua Corona ipo
4. Samia anajipendekeza kwenye uhusiano wa kimataifa
5. Samia hapendi sifa za kupakwa mafuta kwa mgongo wa chuma (Ref: SABAYA)
6. Samia sio mshamba wa kujiona yeye ana akili kuliko watu wote eti kwa sababu tu ni Rais
7. Samia hana strategies za kuua upinzani
Usimfananishe kabisa na yule "MWANAKWENDAZAKE NA AENDE"
Hivi ujana mwisho miaka mingapi?
Rais Samia kawatumbua kwa kuwashambulia Machinga mtaani mkoani Morogoro.
Aliyetumbuliwa ni Bakari Msulwa Mkuu wa wa Wilaya ya Morogoro na Sheilla Lukuba Mkurugenzi Morogoro. NI kutokana na Mgambo kuwapiga Machinga.
Pia amesisitiza ajira zote zinazokuja za Ma-DC zijazo zitakuwa za vijana.
View attachment 1819504
Sijui kama amejiridhisha bila shaka, kuwa viongozi hao, ndio waliwatuma mgambo kufanya hayo, ama unakuta ni viongozi walio chini yao tu waliamua 'kujimwambafy wenyewe' dizaini ya jamaa yetu wa Hai.... kaaazi kwelikweli. Na kweli kazi iendelee.Sasa kuna sababu gani ya kutumbua mtu wakati unakaribia kufanya mabadiliko nchi nzima.
Hata Mimi acha niwahi tu asije kunisahau,Morogoro Ni nyumbani kwetu anipe tu Mimi nafasi hyo ya ukuu wa wilaya,ila sio ukurugenzi.
Yaani Pasco jamani angalau, amrithi Mrema, imetosha apumzike.labda apewe ukuu wa PAROLE
Kuna hayawani nasikia wamepiga marufuku kutumia neno mwendazake
Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app