technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,841
Rais Samia kawatumbua kwa kuwashambulia Machinga mtaani mkoani Morogoro.
Aliyetumbuliwa ni Bakari Msulwa Mkuu wa wa Wilaya ya Morogoro na Sheilla Lukuba Mkurugenzi Morogoro. NI kutokana na Mgambo kuwapiga Machinga.
Pia amesisitiza ajira zote zinazokuja za Ma-DC zijazo zitakuwa za vijana.
Aliyetumbuliwa ni Bakari Msulwa Mkuu wa wa Wilaya ya Morogoro na Sheilla Lukuba Mkurugenzi Morogoro. NI kutokana na Mgambo kuwapiga Machinga.
Pia amesisitiza ajira zote zinazokuja za Ma-DC zijazo zitakuwa za vijana.