Rais Samia Awasili Mbeya Kushiriki Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima (NaneNane)

Au ndio sababu uamuzi wa kesi ya bandari ume sogezwa mbele🤔🤔 kwa sababu pengine majibu yangetoka tofauti na watu walivyo tarajia angesusiwa hayo maadhimisho kesho🤔🤔
 
Au ndio sababu uamuzi wa kesi ya bandari ume sogezwa mbele🤔🤔 kwa sababu pengine majibu yangetoka tofauti na watu walivyo tarajia angesusiwa hayo maadhimisho kesho🤔🤔
Wenye mamlaka wamezima hukumu
 
Mkuu, rais sio mtu ni taasisi.
Hata Marekani ambalo hulinda TUNU zao kwa gharama zoxote na eivu mkubwa lakini raisi huzomewa asipoenda sawasawa.
Zomea zomea ni aina ya kufikisha ujumbe japo dio ustaarabu.

Watawala wajifunze kuheshimu sauti ya waliowaweka pale vinginevyo kuzomewa ni haki yao kabisa
Ujinga huo...

Marekani ndiyo SI UNIT ya kila mambo ya walimwengu?!!

Wewe ,mimi ,wamarekani wapi na wapi ?!!!
 
Back
Top Bottom