YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,174
- 36,236
Kwasasa Wanyaki wako upande wa ndg yao Mwambukusi na sio mwingine
Kabisa bro, mama watz wengi hatumuelewi na hao wajinga waliopita bila kupingwa ndio wanazidi kumjaza ujinga tu
Kwasasa Wanyaki wako upande wa ndg yao Mwambukusi na sio mwingine
Sns kazi ngumu mbele yake.Kabisa bro, mama watz wengi hatumuelewi na hao wajinga waliopita bila kupingwa ndio wanazidi kumjaza ujinga tu
😂😂Wanyakyusa watamwacha salama bila zomea zomea kweli?
Mbeya ilimzomea JPM mchana kweupe.
Wanyaki hawanaga woga wakiamua
Lakini Mbeya Rais si ni SUGU....Karibu mama, Mungu asiyembaguzi aendelee kukulinda🙏
Sawasawa 🙏Lakini Mbeya Rais si ni SUGU....
😅😒😒🤭🤭🤭
Hiyo hukumu unategemea itakuwa ya HAKI? huyo jaji hajipendi?Asitumie hiyo nafasi ku-rig hukumu ya ile kesi!
Wenye mamlaka wamezima hukumuAu ndio sababu uamuzi wa kesi ya bandari ume sogezwa mbele🤔🤔 kwa sababu pengine majibu yangetoka tofauti na watu walivyo tarajia angesusiwa hayo maadhimisho kesho🤔🤔
Ujinga huo...Mkuu, rais sio mtu ni taasisi.
Hata Marekani ambalo hulinda TUNU zao kwa gharama zoxote na eivu mkubwa lakini raisi huzomewa asipoenda sawasawa.
Zomea zomea ni aina ya kufikisha ujumbe japo dio ustaarabu.
Watawala wajifunze kuheshimu sauti ya waliowaweka pale vinginevyo kuzomewa ni haki yao kabisa
Tumzomee ili iweje?
Kuzomeana si ustaarabu...Lakini msitume polisi kuwanyamazisha wakizomea
Idadi ya hao watanzania wasiomuelewa imefanyika KISAYANSI wapi ?!!Kabisa bro, mama watz wengi hatumuelewi na hao wajinga waliopita bila kupingwa ndio wanazidi kumjaza ujinga tu
Kwa hoyo tubakie kuendekeza umwinyi wa viongozi wetu sio?Ujinga huo...
Marekani ndiyo SI UNIT ya kila mambo ya walimwengu?!!
Wewe ,mimi ,wamarekani wapi na wapi ?!!!
Aaaamin aaaamin aaaaminKaribu mama, Mungu asiyembaguzi aendelee kukulinda
...wavuta ganja nao huwa wana marais wao.....Lakini Mbeya Rais si ni SUGU....
Akili za Mwabukusi na Lissu haziwakilishi watu wa Mbeya....Wanyakyusa watamwacha salama bila zomea zomea kweli?
Mbeya ilimzomea JPM mchana kweupe.
Wanyaki hawanaga woga wakiamua
Glenn ndugu yangu kwani iliyozimwa ni VERDICT ya kesi ?!!Wenye mamlaka wamezima hukumu
Akili za Mwabukusi na Lissu haziwakilishi watu wa Mbeya....