Ni kweli waliondolewa la Saba kimakosa ndo hao walisharuhusiwa kurudi na wengi walikuwa kwenye kustaafu hivyo walirudi Ili kuchukua mafao yao.Uanapotosha makusudi magufuli wakati anahutubia watumishi kule bandarini aliwaambia kama wee ni lasaba ni umejaza lasaba hamna mwenye shida naye ila mtu la saba anafoji ni form four uki mwambia alete cheti cha form anaruka ruka