fatu2010
Senior Member
- Mar 4, 2014
- 173
- 142
Tunazidi kuwapa umaarufu tu.
Wewe hata usipowapa tyr ndio habari ya mjini
Tunazidi kuwapa umaarufu tu.
Wewe hata usipowapa tyr ndio habari ya mjini
Ha ha ha haChawa
Kunguni
Papasi
Mbung'o
Ngeda
😂😂😁😀🤣😃😃😄😅
Huyu mama alikosea sana ayeye kutuelez Gwajboy alimnanihi mrembo kimaadili amekosea kwa kuropoka
Wewe hata usipowapa tyr ndio habari ya mjini
Msamehe Dorothy kichwani anaonekana kuna mshipa hauko sawa,
ile siku amechanjwa nakuhojiwa ndo niliamini kwenye kichwa yake kuna shida mahala.
View attachment 1896387
Wewe, Dorothy Gwajima na Mollel nadhani chanjo zimeshaanza kuwa athiri. Tutaona mengi.
Hiyo haiendani na hoja yangu.Awamu ya tano hata Rashid alisema ule mkono kwenye picha ya mrembo ni wa bouncer. Sasa hivi anasema hakuna shida yeyote kutoka na mrembo.