ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,715
- 28,268
Hili pambano Gwaji girl anapoteza!!?
hakuna kosa la jinai hapo kuwa involve polisi...
labda madai /defamation
hakuna kosa la jinai hapo kuwa involve polisi...
labda madai /defamation
Madhara ya wabunge wa Magufuli tumeyaona kwenye tozo wangekuwa wamechaguliwa na wananchi wasingepitisha tozoMbona wote walipewa na hakuna aliyechaguliwa? Heri mmoja ni msomi na mwingine kihiyo na tapeli
Pia naongezea kupe,ndorobo na kiroboto.
Kweli kabisa. Gwajiboy hakupaswa kuropoka ropoka. Yeye kama hataki chanjo kimpango wake sio kupayuka payuka. Kila mtu ana maaumuzi ya kufanya sasa kila asiyetaka chanjo akipayuka patakalika kweli.Mbunge wangu Gwajima ndio anafanya utoto akimkwaza Rais Samia na serikali yake.
Anaongea mambo ya kitaalam huku akiwa haelewi zaidi ya nusu ya hayo anayoyasema.
Hizi sio chanjo za kwanza kuingizwa miilini mwetu tangu nchi hii ianze kuwepo, haingii akilini chanjo zile za zamani hazijatuathiri halafu hizi za covid ndio ziwe na nia mbaya kwetu.
Wewe ndo zero kabisa! Yaani chanjo zingine ulizochanjwa ziko sawa na hii?Mbunge wangu Gwajima ndio anafanya utoto akimkwaza Rais Samia na serikali yake.
Anaongea mambo ya kitaalam huku akiwa haelewi zaidi ya nusu ya hayo anayoyasema.
Hizi sio chanjo za kwanza kuingizwa miilini mwetu tangu nchi hii ianze kuwepo, haingii akilini chanjo zile za zamani hazijatuathiri halafu hizi za covid ndio ziwe na nia mbaya kwetu.
Yeye anaongea akiwa Kanisani na waumini wake,kina kuuma Nini?Kweli kabisa. Gwajiboy hakupaswa kuropoka ropoka. Yeye kama hataki chanjo kimpango wake sio kupayuka payuka. Kila mtu ana maaumuzi ya kufanya sasa kila asiyetaka chanjo akipayuka patakalika kweli.
Anayechanjwa achanjwe asiyetaka asichanjwe lakini kila siku kuongelea na kuponda juhudi za wengine kutaka kujiokoa ni UTOTO kabisa.
Na wewe mropokaji basi tuseme umeshindaYeye anaongea akiwa Kanisani na waumini wake,kina kuuma Nini?
Yeye ameuliza maswali ameomba ajibiwe,hajajibiwa bado.
Au wewe Kama unamajibu mjibu basi. Hizo short term na long term za hiyo chanjo ni zipi?
Kwanini achomwe chanjo ikiwa hata akichanjwa bado ataambukizwa na kuambukiza na hata kufa kwa Corona?
Je hi chanjo ya Sasa inaweza kumkinga na huyu Delta,maana ni chanjo ya mdudu yule wa Kwanza?
Jibu Sasa wewe mwerevu kumzidi Gwajima.
Kwani hi Chanjo ni jambo kubwa sana kama nchi iko vitani vile?
Kwa nini wanakomalia sana as if hakuna shughuli nyingine za kufanya?. Wananuka shombo na kama vile wananchi wamewachoka.
Hawa viongozi wana utoto mwingi na wanasababisha ukakasi kwenye hili suala la chanjo. Kuna wakati wangekaa kimya wafanye kazi zao na si kuhangaika na uongo waliouanzisha wao.
Mama punguza "CHAWA" kwenye Cabinet yako, wanakudhalilisha
Kwani hi Chanjo ni jambo kubwa sana kama nchi iko vitani vile?
Kwa nini wanakomalia sana as if hakuna shughuli nyingine za kufanya?. Wananuka shombo na kama vile wananchi wamewachoka.
Hawa viongozi wana utoto mwingi na wanasababisha ukakasi kwenye hili suala la chanjo. Kuna wakati wangekaa kimya wafanye kazi zao na si kuhangaika na uongo waliouanzisha wao.
Mama punguza "CHAWA" kwenye Cabinet yako, wanakudhalilisha
Sisi tunavyojua ni kwamba hakuna kitu kinachoitwa Corona,kama wanatakaka kuchanja watu wakachanye familia zao,hachanjwi mtu hapa.
Kuhapa=kuapaHuyu mama sijuhi kwanini alipewa uwaziri,ana makelele sana kama kigagura,Swaga nyingi,masihara Mengi!!
Amejaa mipasho tu,anavyoongea utafikiri Mzalamo yupo kwenye ngoma ya mdundiko,Huyu mama,Kitira mkumbo,Kabudi,Mwigulu,mijitu imejaa masihara matupu.
Huyu mama anadai "amehapa mbele ya majeshi yote"anatoa maagizo kwa jeshi la polisi limkamate Raia!what a stupid comment
Kwanini asimtimue kupe na tapeli Josephat Gwajima askofu wa kujipachika na tapeli wa kunuka kwanza ambaye kama siyo CCM kudhulumu Kawe asingekuwa hata diwani?
Kwanini asimtimue kupe na tapeli Josephat Gwajima askofu wa kujipachika na tapeli wa kunuka kwanza ambaye kama siyo CCM kudhulumu Kawe asingekuwa hata diwani?
Wewe, Dorothy Gwajima na Mollel nadhani chanjo zimeshaanza kuwa athiri. Tutaona mengi.Gwajiboi ana watu