Rais Samia Atunukiwa Tuzo Mapambano Dhidi ya Dawa za Kulevya

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametunikuwa tuzo ya Kutambua mchango wake kwenye mapambano dhidi ya dawa za Kulevya nchini.

Tuzo hiyo imekabidhiwa kwake na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyeiwasilisha kwa niaba ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA).

Rais Samia amepewa tuzo hiyo katika maadhimisho ya kitaifa ya kupiga vita matumizi na biashara ya dawa hizo duniani ambayo kitaifa yamefanyika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo Jumapili Juni 25, 2023.
FzeIHK7XgAAkI6r.jpeg
 
Kwenye tawala za kiafrika huwa kuna ujinga mwingi sana. Na unaweza kuta huo usanii hata rais anaona ni kweli anapambana na dawa za kulevya.
Mtanzania wa kawaida akipewa kofia ya CCM na elfu tatu anamchagua mgombea wa hovyo pasipo kulinganisha hoja.

Hata falsafa inayomuongoza kwenye maisha hana. Anaenda na 'beat' la matamko ya wanasiasa. Wakisema nitabadilisha maisha yenu na kuwajengea barabara wanawapata kama wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtanzania wa kawaida akipewa kofia ya CCM na elfu tatu anamchagua mgombea wa hovyo pasipo kulinganisha hoja.

Hata falsafa inayomuongoza kwenye maisha hana. Anaenda na 'beat' la matamko ya wanasiasa. Wakisema nitabadilisha maisha yenu na kuwajengea barabara wanawapata kama wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa utakuwa kifupi kama jivi la mwisho la ugali wa wakurya wa mtama. Hupaswi kuwa mpinzani wa rais Dkt Samia, labda hujitaki
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametunikuwa tuzo ya Kutambua mchango wake kwenye mapambano dhidi ya dawa za Kulevya nchini.

Tuzo hiyo imekabidhiwa kwake na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyeiwasilisha kwa niaba ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA).

Rais Samia amepewa tuzo hiyo katika maadhimisho ya kitaifa ya kupiga vita matumizi na biashara ya dawa hizo duniani ambayo kitaifa yamefanyika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo Jumapili Juni 25, 2023.View attachment 2668411
Mpeni Phd ya pili
 
Endelea kufurahia kuna siku utalia,

Awamu ya pili ulikuwa darasa la pili hujui kilichotokea .
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametunikuwa tuzo ya Kutambua mchango wake kwenye mapambano dhidi ya dawa za Kulevya nchini.

Tuzo hiyo imekabidhiwa kwake na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyeiwasilisha kwa niaba ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA).

Rais Samia amepewa tuzo hiyo katika maadhimisho ya kitaifa ya kupiga vita matumizi na biashara ya dawa hizo duniani ambayo kitaifa yamefanyika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo Jumapili Juni 25, 2023.View attachment 2668411
pale mteuliwa anapotoa tuzo kwa mteuzi wake what do you expect.
 
Haya ndo mambo yanayosababisha watu wengi hapa Tanzania kutotoa mawazo yao jinsi ya kutatua changamoto flani katika jamii yetu kwasababu no appreciation zitakazofanyika na kuleta motisha kwa watu wengine zaidi.

Taasisi iliyotoa hiyo tuzo ingetoa kwa raia flani na zawadi juu, ingeamsha na kutoa motisha kwa watu wengine kuwa inawezekana...ila kwa ujinga hizi zinqzofanyika...BuRE kabisa.
 
Back
Top Bottom