Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,813
- 11,991
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Hafla ya utoaji Tuzo za Rais kwa Wazalishaji Bora (President"s Manufacturer of the year Awards) leo tarehe 17 Desemba, 2023 katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki.
View: https://www.youtube.com/live/VK__DSD6asA?si=p_SWx-PSLiJR2uw3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye ukumbi wa Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya hafla ya utoaji tuzo za Rais kwa Wazalishaji Bora nchini (PMAYA)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji wakati wa hafla ya utoaji tuzo za Rais kwa Wazalishaji Bora nchini (PMAYA) katika ukumbi wa Super Dome Jijini Dar es Salaam
View: https://www.youtube.com/live/VK__DSD6asA?si=p_SWx-PSLiJR2uw3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye ukumbi wa Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya hafla ya utoaji tuzo za Rais kwa Wazalishaji Bora nchini (PMAYA)