Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Wakati hoja kuhusiana na Wizara yake ya Maji na Nishati zikipamba moto alikua anaongea Kiingereza mwanzo mwisho BungeniAlnoor Khasum hajawahi kuwa waziri wa fedha. Aliyekua waziri wa fedha Ni Amir Jamal.
Alnoor alikua maji na nishati wakati huo lile jengo karibu na posta ya zamani likiwa Ni Kati ya majengo marefu sana Dar. Huyu mzee alikua anaendesha gari mwenyewe kuja kazini gari yake naikumbuka ilikua Peugeot 505.