Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Samia alipoingia madarakani, kama kawaida , wapambe walishabikia ubora wake kwa hotuba mbili au tatu alizotoa. BIla kufahamu kwamba hata bwege akipewa kusoma haotuba, itapendeza tu! Mwenztu mmopja hapa JF aliandika sentensi moja tu, ........ hatuna rais, ni suala la muda. Muda umefika sasa tunayaona.
Imekuwaje rais wa nchi ameshindwa kutoa salamu za rambi rambi kwa misiba miwili iliyotokea kwa kuwapoteza vijana wawili nchini Israel? Lakini haraka sana ametoa salamu za rambirambi kwa kifo cha mwarabu fulani khuko arabuni! Hivi ni kweli rais wetu anaamini yeye ni mwarabu eti! OK ni mwarabu, hajui nchi anayoiongoza ni TZ?
Salamu njema huko kwenu arabuni.
Imekuwaje rais wa nchi ameshindwa kutoa salamu za rambi rambi kwa misiba miwili iliyotokea kwa kuwapoteza vijana wawili nchini Israel? Lakini haraka sana ametoa salamu za rambirambi kwa kifo cha mwarabu fulani khuko arabuni! Hivi ni kweli rais wetu anaamini yeye ni mwarabu eti! OK ni mwarabu, hajui nchi anayoiongoza ni TZ?
Salamu njema huko kwenu arabuni.