Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,760
- 19,997
Tuliamshe tu hakuna namnaHuu ni upuuzi, mfanyakazi aruhusiwe kuchukua hadi 80% ya mafao yake kama kiinua mgongo ili akaendelee na uwekezaji ambao utamsaidia kujikwamua badala ya kusubiri pensheni ya kila mwezi ambayo mara nyingi inachelewa............mfanyakazi kafanya kazi ya kulipwa mshahara hadi kastaafu, kwa nini mnalazimisha kumlipa kila mwezi utafikiri bado yupo kazini? wapeni pesa zao zote bhanaa, kama ni ku handle pesa nyingi wana uzoefu mkubwa hadi wamefika umri wa kustaafu. Mnachotakiwa kufanya ni kuwapa elimu ya kuwawezesha kuwa na uwekezaji utakaowapa kipato endelevu..........haya mambo ndo yanafanya watu wanajiondoa kwenye vyama vya wafanyakazi, vinaonekana kama havina msaada wowote.