Rais Samia anayepingwa kwa uzanzibari wake ndiye amefanya makubwa kuliko hao Marais wa Tanganyika

Huyo ndio Mtanganyika mwenzenu.Kwa Samia mumekosa hoja mnaanza kumtambulisha Kwa njia ya ukabila na ubaguzi wa maeneo.

Hiyo.Dhambi imekita mizizi huko Chadomo
Mkuu ChoiceVariable nimeusoma uzi huu kwa utulivu tangu mwanzo, nimevutiwa sana na utetezi wako wenye ushahidi ulioshiba.
Kama wewe ni msemaji wa rais basi nakupa hongera kwa namna ulivyotimiza majukumu yako.

Ingawa baadhi ya wachangiaji walikuwa na hoja lakini sijaona viambatanisho cha kutetea hoja zao kama ambavyo wewe umefanya.

Hapo kabla sikujua baadhi miradi iliyotekelezwa na inayotekelezwa, lakini kupitia uzi huu na hasa ushahidi ulioweka hapa nasema asante kwake mama.
 
Utawadanganya wenzuo Wenye akili za paka! Nchi hii Viongozi waliofakya makubwa ni Nyerere na Mkapa,anafuati JPM,Kikwete ,Hawa Wanzibat ,wanagawana alama huko chini!
 
Mzigua gani aunde bunduki?
Uko serious kweli we jamaa!?
Principle of physics ya Tanzania ndio hiyo ya Japan,walipotuzidi Japan ni kuwekeza kwenye vipawa ilhali Tanzania tunadharau vipawa.
Watu wa ukanda wa pwani ya bahari ya Afrika mashariki hamkuwahi kuwa na akili,na kama mngeachwa peke yenu mngeendekeza kupanda minazi na kuvua samaki.
Hii pwani wabara ndio wameijenga.
Ukitaka kujua ninyi hamuna akili mtizameni huyu SAMIA MVAA ushungi kesha mfananishe na marehemu halafu urudi hapa.
kaulize kwa wakubwa zako? Nyie uwezo mdogo kazi kukariri :D Wache kujenga kwao waje kujenga huku si ndio uongo huo
 
hela zetu hazitakuwa zinatumikwa kwa wazanzibari, zitatumika kujenga Tanganyika, pia, hatutakuwa na mtu toka nchi za nje anayetalawa Tanganyika, tutakuwa na Rais mwenye uchungu na Tanganyika's bandari, mbuga za wanyama na maliasili zote, hatutakuwa na mtu mwenye uchungu wa nchi nyingine kama zanzibar lakini anatawala Tanganyika. tutawacharge umeme wazanzibar hawatasamehewa mamia ya mabilioni ya umeme kama walivyosamehewa, hatutagawa bandari, hatutagawa vingi. na ni muhimu sana hili manake, tukiwa na Tanganyika, aliyeingia mikataba na "tanzania" ataitafuta ilipo, kila kitu itabidi kiingiwe upya. hasa hao dp word na KIA iliyopewa kwa wajomba Oman.

SASA VITU HIVYO HUWEZI KUVIPATA HADI UWE NA TANGANYIKA??
 
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?

Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.

Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.

Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.

Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.

Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.

Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.

Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.

Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Je, Rais Samia katoa wapi hizo fedha? Je, serikalini hakuna wataalam? Je, chama hakina mchango kutokana na ule mpango wake wa miaka kumi kumi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom