Rais Samia anapaswa kupewa mbinu za kujibu interview, wasaidizi wake mmemuangusha

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,834
18,835
Mahojiano ya jana ya Rais Samia na Gazeti la New York Times alinukuliwa akisema alipata wakati mgumu kufanya kazi na Hayati Magufuli kutokana na msimamo wa Magufuli juu ya Covid-19.

Japokuwa simkubali Magufuli, lakini hii kauli haijakaa sawa, lakini nina uhakika Rais Samia hakudhamiria kusema hivyo, bali aliyekuwa akimhoji ndio alimbana na kulazimisha kusema hivyo.

Kwa wanaoangalia mahojiano ya viongozi na waandishi wa habari wa nchi za 'mbele' wanajua jinsi waandishi hao wanavyokuwa aggressive, mnakumbuka Tundu Lissu mwenyewe alivyobanwa na mwandishi wa BBC hadi kujikuta ametamka atawapa mashoga haki zao...! Baadae akaja kukana hakumaanisha hivyo, ila sikumlaumu maana unabanwa kwelikweli.

Sasa kwa mtu kama Rais ambaye ana wasaidizi wengi smart walitakiwa ku-anticipate maswali ambayo angeulizwa Rais, na Rais angekua namna ya kuyajibu kabla, kuna maswali mengine unaya-dodge tu badala ya kutoa majibu direct ambayo yataleta utata, ndivyo wanasiasa hufanya.

Wasimuache kama anaenda kuhojiwa TBC.

Nadhani hili halitajirudia tena.
 
Mahojiano ya jana ya Rais Samia na gazeti la New York Times alinukuliwa akisema alipata wakati mgumu kufanya kazi na Hayati Magufuli kutokana na msimamo wa Magufuli juu ya Covid

Japokuwa simkubali Magufuli, lakini hii kauli hijakaa sawa

Lakini nina uhakika Rais Samia hakudhamiria kusema hivyo, bali aliyekuwa akimhoji ndio alimbana na kulazmisha kusema hivyo

kwa wanaoangalia mahojiano ya viongozi na waandishi wa habari wa nchi za 'mbele' wanajua jinsi waandishi hao wanavyokuwa aggressive, mnakumbuka Tundu Lissu mwenyewe alivyobanwa na mwandishi wa BBC hadi kujikuta ametamka atawapa mashoga haki zao...! Baadae akaja kukana hakumaanisha hivyo, la sikumlaumu maana unabanwa kwelikweli

Sasa kwa mtu kama Rais ambaye ana wasaidizi wengi smart walitakiwa ku anticipate maswali ambayo angeulizwa Rais, na Rais angekua namna ya kuyajibu kabla, wasimuache kama anaenda kuhojiwa TBC

Nadhani hili halitajirudia tena
Nyerere alikuwa na uwezo wa kujibu maswali ya waandishi wa kizungu mpaka wanaogopa kumuuliza tena, ni swala Ia IQ tu.
 
Nyerere alikuwa na uwezo wa kujibu maswali ya waandishi wa kizungu mpaka wanaogopa kumuuliza tena, ni swala la Ia IQ Tu.
Okay siwezi kubisha maana sijui behind the scenes Nyerere alikuwa akijiandaa au la

Ila Nyerere alikuwa na umahiri wake na mapungufu yake, Samia nae ana umahiri wake na mapungufu yake

Pale kwenye mapungufu ndio tunashauri namna ya kurekebisha
 
Alichoeleza nisawa kabisa.
Hakuna Mtanzania yyt aliefurahi kuganya kazi na Magu, alikuwa na sifa ya Bully, katili n.k

Nadhani ulitaka amsifie Mag kule New york. Hao jamaa wana research ya kutosha kuhusu Magufuli kuliko unavyo dhania.
Samia angeendeleza Tabia ya Watanzania ya kusifisifia viongozi angesambaratishwa kwenye hiyo interview.

Alivyojibu vile maswali magumu yalipunguwa na haikuwasiri, sisi wote tunajuwa Magu alikuwa mtu mgumu kufanyanae kazi
 
Mahojiano ya jana ya Rais Samia na gazeti la New York Times alinukuliwa akisema alipata wakati mgumu kufanya kazi na Hayati Magufuli kutokana na msimamo wa Magufuli juu ya Covid

Japokuwa simkubali Magufuli, lakini hii kauli hijakaa sawa

Lakini nina uhakika Rais Samia hakudhamiria kusema hivyo, bali aliyekuwa akimhoji ndio alimbana na kulazmisha kusema hivyo

kwa wanaoangalia mahojiano ya viongozi na waandishi wa habari wa nchi za 'mbele' wanajua jinsi waandishi hao wanavyokuwa aggressive, mnakumbuka Tundu Lissu mwenyewe alivyobanwa na mwandishi wa BBC hadi kujikuta ametamka atawapa mashoga haki zao...! Baadae akaja kukana hakumaanisha hivyo, ila sikumlaumu maana unabanwa kwelikweli

Sasa kwa mtu kama Rais ambaye ana wasaidizi wengi smart walitakiwa ku anticipate maswali ambayo angeulizwa Rais, na Rais angekua namna ya kuyajibu kabla, kuna maswali mengine unaya dodge tu badala ya kutoa majibu direct ambayo yataleta utata, ndivyo wanasiasa hufanya

wasimuache kama anaenda kuhojiwa TBC

Nadhani hili halitajirudia tena
Mbona kama kajibu hivyo amejibu safi sana, nyinyi wabongo mushazoea kusema uongo na kupambia pambia mabosi wenu na kuwatukuza viongozi muda wote hata wakienda mchomo, siku zile Corona imeshika muliwalazimisha watu nchi nzima Corona isiitwe Corona eti iite ugonjwa wa kuambukiza., mukijaribu kuifananisha corona na magonjwa ya kawaida ili ionekane Corona sio tishio kwa maisha ya watu, wakati watu wakiendelea kupoteza maisha kwa hiyohiyo corona.

Samia nampongeza huyu mama anatabia ya kusema ukweli, na sasa anaonyesha waziwazi kwamba mwendazake alikuwa anakosea sana kwenye uongozi wake lakini kipindi kile mazingira yalikuwa hayamruhusu kumchalenge kutoka na hofu ya woga ambayo mkuu aliijenga.
 
Najua kwa ngazi ya juu kama president kabla ya kukutana na upande wa pili maswali na majibu yote yanakuwa yameandaliwa.

Haipendezi kwa mtu uliyempokea tena unamsema tofauti duniani.

Picha inakuja ni kuwa the late hakuwa na good communication na team yake.

What's picha yetu kwa dunia sasa.
 
Mahojiano ya jana ya Rais Samia na gazeti la New York Times alinukuliwa akisema alipata wakati mgumu kufanya kazi na Hayati Magufuli kutokana na msimamo wa Magufuli juu ya Covid

Japokuwa simkubali Magufuli, lakini hii kauli hijakaa sawa

Lakini nina uhakika Rais Samia hakudhamiria kusema hivyo, bali aliyekuwa akimhoji ndio alimbana na kulazmisha kusema hivyo.

Kwa wanaoangalia mahojiano ya viongozi na waandishi wa habari wa nchi za 'mbele' wanajua jinsi waandishi hao wanavyokuwa aggressive, mnakumbuka Tundu Lissu mwenyewe alivyobanwa na mwandishi wa BBC hadi kujikuta ametamka atawapa mashoga haki zao...! Baadae akaja kukana hakumaanisha hivyo, ila sikumlaumu maana unabanwa kwelikweli.

Sasa kwa mtu kama Rais ambaye ana wasaidizi wengi smart walitakiwa ku anticipate maswali ambayo angeulizwa Rais, na Rais angekua namna ya kuyajibu kabla, kuna maswali mengine unaya dodge tu badala ya kutoa majibu direct ambayo yataleta utata, ndivyo wanasiasa hufanya.

Wasimuache kama anaenda kuhojiwa TBC.

Nadhani hili halitajirudia tena

Kusema Uongo dhambi
 
Alichoeleza nisawa kabisa.
Hakuna Mtanzania yyt aliefurahi kuganya kazi na Magu, alikuwa na sifa ya Bully, katili n.k

Nadhani ulitaka amsifie Mag kule New york. Hao jamaa wana research ya kutosha kuhusu Magufuli kuliko unavyo dhania.
Samia angeendeleza Tabia ya Watanzania ya kusifisifia viongozi angesambaratishwa kwenye hiyo interview.

Alivyojibu vile maswali magumu yalipunguwa na haikuwasiri, sisi wote tunajuwa Magu alikuwa mtu mgumu kufanyanae kazi
Umepata wapi kibali cha kuwasemea watanzania? Wasemee mafisadi wenzako walioishi ka.a mashetani kwa miaka 6
 
Mahojiano ya jana ya Rais Samia na gazeti la New York Times alinukuliwa akisema alipata wakati mgumu kufanya kazi na Hayati Magufuli kutokana na msimamo wa Magufuli juu ya Covid

Japokuwa simkubali Magufuli, lakini hii kauli hijakaa sawa

Lakini nina uhakika Rais Samia hakudhamiria kusema hivyo, bali aliyekuwa akimhoji ndio alimbana na kulazmisha kusema hivyo.

Kwa wanaoangalia mahojiano ya viongozi na waandishi wa habari wa nchi za 'mbele' wanajua jinsi waandishi hao wanavyokuwa aggressive, mnakumbuka Tundu Lissu mwenyewe alivyobanwa na mwandishi wa BBC hadi kujikuta ametamka atawapa mashoga haki zao...! Baadae akaja kukana hakumaanisha hivyo, ila sikumlaumu maana unabanwa kwelikweli.

Sasa kwa mtu kama Rais ambaye ana wasaidizi wengi smart walitakiwa ku anticipate maswali ambayo angeulizwa Rais, na Rais angekua namna ya kuyajibu kabla, kuna maswali mengine unaya dodge tu badala ya kutoa majibu direct ambayo yataleta utata, ndivyo wanasiasa hufanya.

Wasimuache kama anaenda kuhojiwa TBC.

Nadhani hili halitajirudia tena
Sio kosa lako, umeathiriwa na matatizo ya kusema uongo ili kulinda hadhi fulani. Tatizo la kutokusema ukweli ndio limetufikisha watanzania hapa tulipo. Mama kaulizwa 2+2 kasema ni 4, ulitaka aseme ni 5 kama tulivyozoeshwa hapa nchini?
 
Mbona jibu lilikua swala yeye na jiwe walitofautiana vitu vingi na akatolea mfano iyo covid alivyokua ana deal nayo Magu.
U afiki mtupu. Walioweka lock up walitoboa? Kwa taarifa yako kwenye handling ya covid magufuli ni kinara duniani. Utake usitake kwa webye akili wanatambua kwamba dunia nzima inatumia method ya magufuli kwasasa with some few modifications
 
Unaweza vipi kumpa somo mtu ambaye hajui akienda kwenye interview ataulizwa nini?

Hili kwangu linahitaji uelewa binafsi wa mtu, ajue mwenyewe jinsi ya kujiongeza pale anapoulizwa maswali, uwezo wa kuchagua maneno ya kuongea awe nao wakati huo huo akihakikisha meseji aliyokusudia anaifikisha.

Lakini pia, wakati mwingine tuwe tayari kukubaliana na hali halisi, kwa namna Magufuli alivyoongoza nchi, akaonekana "stubborn" mpaka nje ya nchi hasa kuhusu Corona, sijui ulitaka Samia aseme nini zaidi ya kile alichosema, au wewe ndio unataka kumfundisha kusema uongo?
 
Jibu alilojibu raisi linaonyesha Serikali haikuwa organized .Raisi kivyake makamu kivyake utafikiri Serikali ya Sudan kusini kati ya Raisi Salva Kiir na makamu wake Riech machar!! Hakukuwa na unit of command and purpose

Swali je sasa Serikali ya Mama Samia iko organized from bottom to the top? Hilo swali kawaachia homework wamarekani wafanye analysis wenyewe!!
 
Back
Top Bottom