mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
jpm aliwaweza.... "... ana kifua .." sifa muhimu sana ya diplomat! Kutukanatukana mataifa na raia wa kigeni sio diplomasia ni ushamba na ukosefu wa weledi wa kidiplomasia. By the way, unaonekana mwehu tu!
unafiki ni kitu kibaya sana kwenye nchi masikini kama hizi za daraja la 4.