JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Watu waachane na mipango sababu wanaweza kufa. Hayo ndo maoni ya Joshua.Ana Uhakika atafika Hyo December 9?
Watu waachane na mipango sababu wanaweza kufa. Hayo ndo maoni ya Joshua.Ana Uhakika atafika Hyo December 9?
Lkn tunatakiwa tuzingatia uchumi pia wa nchi yetu,wakati wa utawala wa kikwete tanzania lilikuwa dampo la bidhaa za kenya,lkn kwenye utawala wa awamu ya tano,serikali ilikuwa ikivilinda viwanda vya ndani dhidi ya bidhaa toka nje,hivyo tunatakuwa tuendelee kuvilinda viwanda vyetu na wafanyabiashara wetuMwanzo mzuri wa kukua kwa diplomasia ya Tanzania iliyokuwa imefikia kwango cha chini kabisa (2015-20) kuliko wakati wowote tangu uhuru! Liberata Mulamula kazini!
Lkn ndio washindani wetu wakubwa kibiashara,Kenya ndio majirani zetu wa kweli
Mawazo kama haya hayawezi kukufikisha popote mkuu na sidhani kama ata akiongoza mtanganyika maisha yako yanaweza kubadilika au kuna jambo litaongezeka kwakoKatika kasoro zote za muungano hili la Tanganyika kutokuwa na kiongozi tumebugi,inakuwaje Mzanzibari awaongoze Watanganyika katika sherehe za uhuru wao wakati yeye sio Mtanganyika?
Kwa hiyo katikati atakaa Kenyatta?Kwenye lile gari la wazi pembeni ya Mabeyo ataingia nalo kenyata? brief za military exhibition atapewa Kenyatta? Wa Kwanza kutoka uwanjani atakua Kenyatta?Hotuba ya Kenyatta itafuata baada ya Samia?Imeanza leo,
kwani shida Nini? Kila Jambo Lina mwanzo usihofu anzisha mwendo wengine watafuata..
Umenena kweli kabisaKatika kasoro zote za muungano hili la Tanganyika kutokuwa na kiongozi tumebugi,inakuwaje Mzanzibari awaongoze Watanganyika katika sherehe za uhuru wao wakati yeye sio Mtanganyika?
Kama umezaliwa juzi uliza walio kutangulia,sio kuja na Mshangao kama umedemka kutoka usingizini !!Yani kamwalika Rais wa Kenya awe mgeni rasmi (the most important guest at an occasion) kwenye Sherehe ya Uhuru wa Tanganyika?? Hii protokali imeanza lini ndugu zangu😳😳😳😳
Acha ujuaji Morenja kina Pohamba na wengine waliohudhuria hizi sherehe kabla walikuja kama Wageni rasmi au Wageni waalikwa?Kama umezaliwa juzi uliza walio kutangulia,sio kuja na Mshangao kama umedemka kutoka usingizini !!
Sio Mbaaaali ki hivyo ndugu yangu sogeza sogeza kidogo, kiswahili kigumu maneno mengine ni Tata kinoma, ok pale kwenye sherehe za kutimiza miaka 50 kulialikwa wageni maarufu maraisi wa nchi tulikuwa tunawaitaje yaani Avery special guest hapo tu.Kwa hiyo katikati atakaa Kenyatta?Kwenye lile gari la wazi pembeni ya Mabeyo ataingia nalo kenyata? brief za military exhibition atapewa Kenyatta? Wa Kwanza kutoka uwanjani atakua Kenyatta?Hotuba ya Kenyatta itafuata baada ya Samia?
Hamjua mgeni rasmi ndo mkuu Wa hafla husika??
Ha ha ha, hajasema panapo majaliwaAna Uhakika atafika Hyo December 9?
Ndio wamekuza uchumi wa kaskazini yote ni pesa toka kenyaLkn ndio washindani wetu wakubwa kibiashara,
Bwashee mbona hii ikulu kama ya Dodoma bwashe.Rais Samia amesema amemuomba Rais Uhuru Kenyata wa Kenya kuwa mgeni rasmi katika sherehe ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania hapi tarehe 09/12/2021.
Rais Kenyatta amekubali ombi hilo.
===
Rais Samia Suluhu: Mwisho ni kwa taarifa yenu waandishi wa habari, mwaka huu ifikapo mwezi December, Tanzania tunatimiza miaka 60 ya uhuru wetu na hivyo nimetoa mwaliko rasmi kwa Rais Uhuru Kenyatta awe mgeni rasmi katika maadhimisho yale ya miaka 60 ya uhuru wetu.
Kazi Iendelee!
Ficha upumbavu wakoMwanzo mzuri wa kukua kwa diplomasia ya Tanzania iliyokuwa imefikia kwango cha chini kabisa (2015-20) kuliko wakati wowote tangu uhuru! Liberata Mulamula kazini!
Ndiyo inaanza hivyo chief 😁!Yani kamwalika Rais wa Kenya awe mgeni rasmi (the most important guest at an occasion) kwenye Sherehe ya Uhuru wa Tanganyika?? Hii protokali imeanza lini ndugu zangu😳😳😳😳
TakatakaKenya ndio majirani zetu wa kweli
Kawaida Marais wa nchi nyingine hualikwa Kama wageni mashuhuri siyo wageni rasmi. Sasa Nani atakagua gwaride la jeshi letu?Naona umemaindi mkuu, si unamkubali lakini...hadi umemuweka kama avatar yako.
Acha upumbavu! Mbona hukuyasema hayo wakati wa mzee Ruksa? Au wakati ule ulikuwa unanyonya ziwa na kunya Mavi ya mafungu?Katika kasoro zote za muungano hili la Tanganyika kutokuwa na kiongozi tumebugi,inakuwaje Mzanzibari awaongoze Watanganyika katika sherehe za uhuru wao wakati yeye sio Mtanganyika?