johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Kanisa la Kiinjili la Kiluteli Tanzania lilianzishwa mwaka 1963 na sasa linatimiza miaka 60 ya kuasisiwa Kwake
Sherehe za maadhimisho hayo zitafanyika wiki ijayo sawia na Mkutano mkuu wa Kanisa na mgeni rasmi atakuwa Rais wa JMT Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Kadhalika mkuu wa KKKT Dr. Shoo anaelekea kustaafu kwa mujibu wa Ukomo uliowekwa Kikatiba na Kanisa Kupata askofu mkuu Mwingine
Source: Upendo TV
Mlale Unono ππ
Sherehe za maadhimisho hayo zitafanyika wiki ijayo sawia na Mkutano mkuu wa Kanisa na mgeni rasmi atakuwa Rais wa JMT Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Kadhalika mkuu wa KKKT Dr. Shoo anaelekea kustaafu kwa mujibu wa Ukomo uliowekwa Kikatiba na Kanisa Kupata askofu mkuu Mwingine
Source: Upendo TV
Mlale Unono ππ