Rais Samia amteua Sophia Mjema kuwa Mshauri wake kwenye masuala ya wanawake na makundi maalum

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Jan 29, 2021
573
2,553
IMG_8834.jpeg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua ndugu Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum.

Kabla ya uteuzi huu Bi. Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM.
 
Mjema alipwaya sana

Sophia hana convicing Power yoyote

Hiyo nafasi za uenezi walizitendea haki akina Nape na Polepole

Humprey Polepole tatizo lake alilewa sifa na kujiona yeye ndio yeye mbele ya bosi wake

Hiyo ni kazi ya propaganda na mikakati

Waangalie wale wasemaji wa Yanga na Simba wanavyopiga domo na vijembe ndio kazi za uenezi kupiga domo na kujibu mashambulizi ya wapinzani

Chadema wamepeleka moto operation 255 kanda ya ziwa yeye hajaongea lolote anasubiri wabunge watoke mafichoni kwenye majimbo yao na kuanza kulia lia wapate huruma ya wananchi

Sophia alipwaya sana sana
 
View attachment 2788882
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua ndugu Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum.

Kabla ya uteuzi huu Bi. Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM.
Afadhali!, sasa bado mmoja KM!. Nadhani Rais Samia ni msikikivu sana!.
Sijui kama Katibu ajaye wa uenezi, ataendeleza mazuri ya Sofia kama mpango mkakati huu
View: https://youtu.be/YcaZuXTEgec?si=9JM3FoQx_IvvM4qL
P
 
Mjema alipwaya sana

Sophia hana convicing Power yeyote

Hiyo nafasi za uenezi walizitendea haki akina Nape na Polepole

Humprey Polepole tatizo lake alilewa sifa na kujiona yeye ndio yeye mbele ya bosi wake

Hiyo ni kazi ya propaganda na mikakati

Waangalie wale wasemaji wa Yanga na Simba wanavyopiga domo na vijembe ndio kazi za uenezi kupiga domo na kujibu mashambulizi ya wapinzani

Chadema wamepeleka moto operation 255 kanda ya ziwa yeye hajaongea lolote anasubiri wabunge watoke mafichoni kwenye majimbo yao na kuanza kulia lia wapate huruma ya wananchi

Sophia alipwaya sana sana
Watanzania mnavyojua kukosoa wenzenu hamjambo! Hapo ukute kuandika hata page moja kiingereza hujui!
 
View attachment 2788882
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua ndugu Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum.

Kabla ya uteuzi huu Bi. Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM.
haya zuhura chapa barua nyingine chap ya kumteua makonda hiyo nafasi aliyoacha mjema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom