Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,157
- 2,078
Ila jamanii kuna mikoa Tanzania na vijiji vilivyopo kusema uwekewe umeme kwa Elfu 27 + Nguzo +Mita hata si kweliii....
Inabidi tuu kama una shida kweli basi saidiana na Tanesco utatuliwe shida yako ya umeme.
Maana kuna mabonde hiwezi vusha umeme kirahisi...
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Inabidi tuu kama una shida kweli basi saidiana na Tanesco utatuliwe shida yako ya umeme.
Maana kuna mabonde hiwezi vusha umeme kirahisi...
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app