MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,227
- 2,409
Sasa sisi wenye upeo mkubwa tukaishi wapi!?tusimlaumu sana, rais wetu ana upeo mdogo wa kufikiria
Sasa sisi wenye upeo mkubwa tukaishi wapi!?tusimlaumu sana, rais wetu ana upeo mdogo wa kufikiria
ndugu yangu teuliwa kuwa mbunge hlafu upewe uwaziri kama hutakuwa mnafiki namba moja. kwa afrika hii ni kujipendekeza kwa mkulu hata kama hutaki utakubali tu ingawa moyoni utakuwa unagugumia. THIS IS AFRICA bhaana, gombea urais tukupe kama utakubali kupingwa waziwazi!!!! acha usitud................... hapaKumbe yeye alikuwa anamsapoti mwendazake kinafiki, hii dhambi mbaya sana; ndio maana sasa amekutana na anaehoji hadharani anamuona adui, badala ya kumjibu hoja zake anamuagizia kikundi cha mipasho toka mikoani waende kumsuta ikulu.
Kwanza kabisa mimi ni muumini wa kumkosoa mtu yoyote kwa staha, siamini kwenye kudhihaki Wala kutukana.
Kama raisi kuna sehemu amekosea basi tumkosoe kwa staha tumkosoe bila kumvunjia heshima, yeye ni binadamu anapitiwa.
Hili la umeme wa kuunganisha watu wote kwa 27,000 ni yeye amelileta.
Mwanzo 27,000 ilikua kwa watu wa REA tu ila kwa watu wa mijini ilikua 321,000.
Baada ya mama Samia kuwa raisi wote tulianza kulipa 27,000 mwezi June mwaka jana na kwa kweli tulimpongeza kwa hili.
Leo mama anasema hii 27,000 kwa wote haiwezekani. Sawa, Ila ina maana amesahau miezi michache nyuma alileta hili?
Akiwa njiani kuelekea Dodoma alisimama na kuwaambia wananchi kuwa tumepunguza gharama ya kuunganisha umeme kwa watu wote, watu wakashangilia sana.
Leo watu hawa watakuaje?
Chini nimeweka video, mama Samia akizungumzia kupunguza gharama za kuunganisha umeme.
Huenda amesahau.........tumkumbushe.
View attachment 2069248
Kwani mita ni mali ya nani?Ukweli nikwamba kuunganishiwa Umeme kwa 27 elfu ni hasala kwa Tanesco,maana lazima tujue kwamba hivyo vitu vina nunuliwa .
.
Hata hivyo inafaa kuweka Bei nafuu kiasi ,mfano nguzo si sahihi mteja kulipia sawa na mteja kulipia miundombinu ya simu ,Kama simu hatulipi inafaa na Tanesco kuondoa gharama hiyo .
Pili Meter luku isizidi tsh 150,000\=
Meter imeandikwa ni Mali ya Tanesco ,lakini mtumiaji na mwangalizi Ni mteja husika, ndiyo maana hata ikisumbua anaye hangaika kuhakikisha inafanya kazi ni mteja.Kwani mita ni mali ya nani?
HUYU MNAFIKI WA KIWANGO CHA KWANZAView attachment 2069423
Kwa nini unataka kutufanya wananchi wajinga?!
Wananchi wenzangu kiongozi wa ndimi mbili aina ya huyo ni sahihi kwetu?
Duu!View attachment 2069423
Kwa nini unataka kutufanya wananchi wajinga?!
Wananchi wenzangu kiongozi wa ndimi mbili aina ya huyo ni sahihi kwetu?