Rais Samia, TTCL ni shirika lililojaa wafanyakazi wazembe

D2050

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
1,902
1,067
Kwako mkuu wa nchi hii Rais SAMIA.

Katika mashirika ya serikali ambayo wafanyakazi wake wengi ni wazembe basi Ttcl wanaongoza. Hili Shirika limejaa uzembe wa kupitiliza hadi unakela.

Dunia ya sasa wanategemea sana INTERNET ili shughuli zao ziende kwa wakati. Watanzania wengi wanapenda kuingiza huduma za WI-FI kwenye shughuli zao za kila siku,Huduma hii inapatikana katika shirika la TTCL,Lakini cha kushangaza TTCL wamekuwa wavivu wa kuunganisha huduma hii kwa wateja wapya na pia hata wateja wale wa zamani wakipata changamoto yoyote kutatuliwa shida zao imekuwa ngumu sana.

TTCL Shiraka ambalo kama litafanya kazi kwa weledi na kwa kasi nzuri.litakuwa linaingiza fedha nyingi.

Mkoa wa RUVUMA hususani manispaa ya songea huduma hii inahitajika sehem nyingi sana,lakini unaweza kulipia gharama za kuungiwa huduma hiyo na utaipata baada ya miezi hadi 3.

Ukiuliza kwanini mnachelewa kuunganisha hii huduma ya Wi-fi unajibiwa vifaa hakuna.

Raisi samia chukua hatua zidi ya wafanyakazi wazembe kama hawa
 
Kwako mkuu wa nchi hii Raisi SAMIA.
Katika mashirika ya serikali ambayo wafanyakazi wake wengi ni wazembe basi Ttcl wanaongoza. Hili Shirika limejaa uzembe wa kupitiliza hadi unakela. Dunia ya sasa wanategemea...
Niku correct ndugu mtoa post si wi-fe ni wi-fi
 
Siyo TTCL tu bali huu mfumo wa wafanyakazi wazembe umetengenezwa na serikali ili wawepo wafanyakazi wazembe kwenye mashirika ya umma hata huko serikalini penyewe.

Huyo mfanyaazi mzembe ukimchukua na ukampeleka private sector atafanya kazi kwa bidii kwasababu bidii yako ndiyo sababu ya uwepo kazini ila kwa kuwa mfumo uliopo TTCL ni wafanyakazi wazembe ndiyo maana wanaenda nao huo huo.

Afanye kazi asifanye, akitoa huduma mbovu n.k mshahara wake upo pale pale lazima awe mzembe
 
Ttcl hawajielewi, magufuli aliwavuta kwa kamba ila hata kushika kamba hawawezi. Mm nliomba fiber to home maeneo 2 moja nyumbani kwangu na eneo lingine kijiweni kwangu, leo mwaka wa 2 hamna kitu. Nishaomba zaidi ya mara 2. Ofisini mwananyamala kituo cha msaada gereji
 
Niliunganishiwa nimetumia wiki mbili ikakata ghafla. Wanakuja wanaset hiki mara hiki hakuna kitu. Hadi tarehe imefika holla. Saizi wananipigia wananikumbusha kulipia. Nimewajibu mngekuwa nyinyi mngeweza kulipia kitu usichotumia?!
Hili shirika likiendeshwa na watu binafsi litakuwa nzuri.lakini hawa tunaowalipa kodi zetu hawana mda wa kuliendesha vizuri. Kila kitu hadi Raisi au Waziri hadi aseme? Kuna mda watanzania tunajiangusha sisi wenyewe
 
Tukaambiwa kipindi fulani Maharage Chande ana biashara zake TTCL hivyo akabadilishiwa majukumu hamkuelewa?

Kuna siku nilikuwa napitia kurasa za mitandao ya kijamii kuona mirejesho hasa idara ya uhamiaji Kenya ukiangalia na ya Tanzania ni aibu tupu wenzetu wako mbali kutoa mirejesho ya papo kwa papo.

Kurasa zetu watu wanatumia internet ya bure ofisini kupost vimada wao na ujinga mwingine tu , simu za ofisi hawapokei na hakuna anayewauliza na mtu akifunga safari kwenda ofisini anawekwa kwenye foleni hadi atengenezewe mazingira ya rushwa.

Hebu angalia upuuzi wa kurasa za taasisi za umma Tanzania hapo chini.
IMG-20231115-WA0001.jpg
IMG-20231115-WA0000.jpg
 
Ttcl hawajielewi, magufuli aliwavuta kwa kamba ila hata kushika kamba hawawezi. Mm nliomba fiber to home maeneo 2 moja nyumbani kwangu na eneo lingine kijiweni kwangu, leo mwaka wa 2 hamna kitu. Nishaomba zaidi ya mara 2. Ofisini mwananyamala kituo cha msaada gereji
Ttcl ni janga kiukweli.wanatakiwa wabadilike
 
Kwisha habari hata wewe ukipewa kazi TTCL lazima uendane na mfumo wa uzembe maana umeukuta pale
Ndiyo mfumo uliopo hata kama ukiwa mchapakazi kiasi gani. Hata wewe ukienda pale utajikuta mfumo wa wafanyakazi wazembe umeishaingia tayari.
Kuna mteja / wateja wanahitaji huduma za TTCL. Unamfuata boss unahitaji vifaa kwa ajili ya wateja hao, boss anakuambia vifaa hakuna. Utafanyaje?
Nilienda makao makuu ya TTCL laini za TTCL hakuna. Unategemea nini?
Kawaulize TAKUKURU (Taasisi ya kuzuia rushwa Tanzania) waliishia wapi wakati mwanzo kipindi inaanzishwa walikuwa wanafanya kazi vizuri?
Mfumo wa wafanyakazi wazembe umetengenezwa na serikali na wewe mfanyakazi wa kawaida huwezi kuupindua na ukitaka uupindue lazima uwe Raisi.
Tofauti na uraisi hauna kitu cha kufanya
 
Ndiyo mfumo uliopo hata kama ukiwa mchapakazi kiasi gani. Hata wewe ukienda pale utajikuta mfumo wa wafanyakazi wazembe umeishaingia tayari.
Kuna mteja / wateja wanahitaji huduma za TTCL. Unamfuata boss unahitaji vifaa kwa ajili ya wateja hao, boss anakuambia vifaa hakuna. Utafanyaje?
Nilienda makao makuu ya TTCL laini za TTCL hakuna. Unategemea nini?
Kawaulize TAKUKURU (Taasisi ya kuzuia rushwa Tanzania) waliishia wapi wakati mwanzo kipindi inaanzishwa walikuwa wanafanya kazi vizuri?
Mfumo wa wafanyakazi wazembe umetengenezwa na serikali na wewe mfanyakazi wa kawaida huwezi kuupindua na ukitaka uupindue lazima uwe Raisi.
Tofauti na uraisi hauna kitu cha kufanya
Ndio mfumo unakutana ufanye hivyo wewe hudhulia kazini tu kazi ufanye usifanye mwisho wa Mwezi akaunti inacheka, 😆🤪 jamaa wanakula Maisha hawa
 
Ndiyo mfumo uliopo hata kama ukiwa mchapakazi kiasi gani. Hata wewe ukienda pale utajikuta mfumo wa wafanyakazi wazembe umeishaingia tayari.
Kuna mteja / wateja wanahitaji huduma za TTCL. Unamfuata boss unahitaji vifaa kwa ajili ya wateja hao, boss anakuambia vifaa hakuna. Utafanyaje?
Nilienda makao makuu ya TTCL laini za TTCL hakuna. Unategemea nini?
Kawaulize TAKUKURU (Taasisi ya kuzuia rushwa Tanzania) waliishia wapi wakati mwanzo kipindi inaanzishwa walikuwa wanafanya kazi vizuri?
Mfumo wa wafanyakazi wazembe umetengenezwa na serikali na wewe mfanyakazi wa kawaida huwezi kuupindua na ukitaka uupindue lazima uwe Raisi.
Tofauti na uraisi hauna kitu cha kufanya
Kipindi cha Raisi magufuli kidogo walijiona wanapelekwa pelekwa sana
 
Ttcl ni janga kiukweli.wanatakiwa wabadilike
Mfumo uliopo TTCL ndiyo upo kwenye mashirika yote ya umma.
Shirika linapokea ruzuku kutoka serikalini unategemea shirika hilo liendelee?
Wafanyakazi wa TTCL wanalipwa mishahara na serikali km wafanyakazi wengine na siyo mapato ya shirika la TTCL. Hawalipi na TTCL
Kubadilika TTCL hiyo haipo hapo kinaitakiwa Serikali ijitenge na TTCL yaani isitoe ruzuku
Wafanyakazi wote wa TTCL walipwe kutokana na mapato ya TTCL hapo shirika litabadilika.
Tofauti na hapo sahau. Mwenyewe laini za TTCL nilifuatilia miezi 3 laini hakuna mpk nikachoka. Sikwenda tens
 
Kwako mkuu wa nchi hii Rais SAMIA.

Katika mashirika ya serikali ambayo wafanyakazi wake wengi ni wazembe basi Ttcl wanaongoza. Hili Shirika limejaa uzembe wa kupitiliza hadi unakela.

Dunia ya sasa wanategemea sana INTERNET ili shughuli zao ziende kwa wakati. Watanzania wengi wanapenda kuingiza huduma za WI-FI kwenye shughuli zao za kila siku,Huduma hii inapatikana katika shirika la TTCL,Lakini cha kushangaza TTCL wamekuwa wavivu wa kuunganisha huduma hii kwa wateja wapya na pia hata wateja wale wa zamani wakipata changamoto yoyote kutatuliwa shida zao imekuwa ngumu sana.

TTCL Shiraka ambalo kama litafanya kazi kwa weledi na kwa kasi nzuri.litakuwa linaingiza fedha nyingi.

Mkoa wa RUVUMA hususani manispaa ya songea huduma hii inahitajika sehem nyingi sana,lakini unaweza kulipia gharama za kuungiwa huduma hiyo na utaipata baada ya miezi hadi 3.

Ukiuliza kwanini mnachelewa kuunganisha hii huduma ya Wi-fi unajibiwa vifaa hakuna.

Raisi samia chukua hatua zidi ya wafanyakazi wazembe kama hawa
Mbona sehemu nyingi mambo hayaeleweki mm nimelipa kuunganishiwa maji mwezi na pesa nimeshalipa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom