Rais Samia amesahau hili la umeme ni yeye amelileta, tumkumbushe

Ukweli nikwamba kuunganishiwa Umeme kwa 27 elfu ni hasala kwa Tanesco,maana lazima tujue kwamba hivyo vitu vina nunuliwa .
.
Hata hivyo inafaa kuweka Bei nafuu kiasi ,mfano nguzo si sahihi mteja kulipia sawa na mteja kulipia miundombinu ya simu ,Kama simu hatulipi inafaa na Tanesco kuondoa gharama hiyo .

Pili Meter luku isizidi tsh 150,000\=
Iko hv Bei ikiwa chini inamaana watu wengi wataachana na solar waunganishiwe umeme...

Wateja wa tanesco wakiwa wengi ndivyo mapato ndani ya tanesco yataongezeka

Kuna nchi nyingine ukijenga nyumba ikafikia pagala wanakutafuta kukushawishi wakuunganishie umeme,sababu ukishaunganishiwa unakuwa mteja wao wa maisha
 
Du hatari kabisa , nadhani amesahau kila jambo liko wazi.
,
Screenshot_20220105-223529.jpg


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umenivunja mbavu leo, nanukuu Wananchi wakapiga ndelemo na makofi! hapa kidogo umesahau pia wakaongezea kwa kusema kwa ndelemo tano tena kwa mama. Hivi hizi bei za Tanesco ndio hizo hizo na kule Zanzibar? kwa maana jamaa huwa wanagoma kulipia umeme ati. Tano tena kwa mama hah hahaaaaa. Hizi ni sarakasi za mpigaji February Marope na wahuni wenzake, uhuni huu umekuja mara tu baada ya yeye kuwa mkuu wa umeme. Nilijua tu huyu aliyekuu muuza ving'amuzi mr mabeans Tanesco ni maji marefu sasa ugali wote umekuwa uji,maji yamezidi unga.
Hatari sana.

Wafanya Biashara wanajua tanesco ni shirika binafsi.
 

Rais Samia ni kinyonga. 2020 Alisifia umeme elfu 27 ,2022 Anaponda. Kweli huyu ana tabia za kinyonga. Ninaamini maneno ya Ndugai ipo siku nchi itauzwa.
 
Kumbe yeye alikuwa anamsapoti mwendazake kinafiki, hii dhambi mbaya sana; ndio maana sasa amekutana na anaehoji hadharani anamuona adui, badala ya kumjibu hoja zake anamuagizia kikundi cha mipasho toka mikoani waende kumsuta ikulu.
Ukiwa serikalini unafanya kazi kwa dhana inayoitwa 'collective responsibility' yaani uwajibikaji wa pamoja.

Mazingira ya kiuchumi huenda yakibadilika, na Samia kaamua kuwa mkweli kwamba tozo ikiwa tshs 27,000 anayeumia ni mtoa huduma kwa maana ya TANESCO. Unakuwa ni upendo wa mshumaa wenyewe unateketea ukiwaneemesha wanaotumia mwanga.

Hakuna uwezekano wa shirika la umeme kuendelea kuzalisha kwa faida halafu mteja aunganishiwe umeme kwa tshs 27,000.

Ndugai alileta unafiki, alileta dharau kwa rais akimuona ni mwanamke. Hakutegemea majibu ya rais yangekuwa ni ya kimamlaka kama yalivyokuwa.
 
Daah hii nchi ngumu Sana wazee , akina lukuvi na kabudi wapo Kwa Raisi ikulu noma sana
Gharama nyingine tena ya kuwalipa mishahara. Sasa kuliko kuwalipa hao si angesave public money kwa matumizi ya msingi.
 
Ukiwa serikalini unafanya kazi kwa dhana inayoitwa 'collective responsibility' yaani uwajibikaji wa pamoja.

Mazingira ya kiuchumi huenda yakibadilika, na Samia kaamua kuwa mkweli kwamba tozo ikiwa tshs 27,000 anayeumia ni mtoa huduma kwa maana ya TANESCO. Unakuwa ni upendo wa mshumaa wenyewe unateketea ukiwaneemesha wanaotumia mwanga.

Hakuna uwezekano wa shirika la umeme kuendelea kuzalisha kwa faida halafu mteja aunganishiwe umeme kwa tshs 27,000.

Ndugai alileta unafiki, alileta dharau kwa rais akimuona ni mwanamke. Hakutegemea majibu ya rais yangekuwa ni ya kimamlaka kama yalivyokuwa.
Umeandika pumba Sana we jamaa...hata huyo Samia wako exactly hajui behind the movie ....!! Jinsia yake inachangia 80 % kutojua secret mission although yeye ndo overall commanding officer
 
Umeandika pumba Sana we jamaa...hata huyo Samia wako exactly hajui behind the movie ....!! Jinsia yake inachangia 80 % kutojua secret mission although yeye ndo overall commanding officer
Wewe ni wale wale wanaoumia mioyo yao kumuona mwanamke akiwa ikulu akiongoza nchi. Inabidi uwe mpole ni mpaka 2030 Mungu akipenda.
 
Back
Top Bottom