Rais Samia ameenda Urusi kuitisha Marekani?

Rais Samia ameenda Urusi kuitisha Marekani?

Marekani anatishiwa na nani mkuu?
Marekani ni Marekani tuu! Huwezi waimbia taarabu wamarekani kuwarusha roho! 😊
Eti, nyie haters, Kwani mbona mnalazimisha kumuwekea Samia maneno yenu mdomoni?!!! Lini amejibishana na USA?!!! Msichokijua ni kuwa Tz na USA Bado uhusiano upo tu, tena wa maana haswaa.
 
1780489043007.png
Kundi kubwa sana la watu weusi kama lile la walioenda Morroco kushangilia mpira, hakuna tofauti, gharama zetu hizi.
 
Dunia imegawanyika katika pande kuu mbili, mataifa ya Magharibi (US, EU, UK) na Mashariki (Urusi, China, North Korea, nchi za Kiarabu. Kila upande una mitazamo yake kiuchumi, kiulinzi na kidemokrasia.

Wakati wa vita vya kiuchumi au vita halisi, Wamarekani huwa wana msemo wao.

"Either you are with us, or you are with the enemy".

Kitendo cha Samia kwenda Urusi kipindi hiki kinatafsiriwa na Marekani kama ku-side na adui wake.

It's a bad calculation, waliomshauri kwenda Urusi hawakumshauri vizuri na wala hawataifanya Marekani kusitisha mipango yake ya kuiwekea Tanzania vikwazo.
Kachagua the wrong block!Hola hadi keshokutwa asubuhi!
 
ujinga mkubwa sana marekani iwe na mvutano na nchi kama hiyo isiyo na ushawishi tena
 
Russia anatafuta na anatengeneza urafiki na yeyote anayeonyesha kukorofishana na marekani.
 
Kweli nyumbu hawana kazi za kufanya. Kwani ni Samia peke yake aliyetwmbelea urusi?!!! Mbona mataifa kibao tu ya Afrika Yana mahusiano mazuri na urusi na hakuna shida? Isitoshe, Tanzania Ina ukubwa gani kidunia Hadi marekani aiwazie kiasi hicho?!!!
Muulize Mwigulu ambaye kila akizurura nchini anasema tuna raslimali kibao hadi tunaonewa wivu na mabeberu. Ama umesahau hiyo propaganda?
 
Back
Top Bottom