Rais Samia alishiriki filamu ya Royal Tour bila kinga ya heshima ya nchi. Tunashuhudia makosa ya kudhalilisha nchi

Hivi wew kilaza lini utakuwa na akili!!???
Vijisent kidogo tu tiali ushaiuza nchi yako na ndugu zako..
Filamu ni mali ya mtu binafsi sasa raisi alicheza kama mtu binafsi au raisi!???
Hiyo hati miliki ya movie ni ya hao wafadhili au ni ya serikali!??
Kama kacheza hiyo movie ilikuwa ni sehemu ya majukumu ya raisi kwa siku 14
mbona haina hati miliki ya serikali???
Nimemaliza vilaza kama ninyi sina hamna nafasi ya kuendelea kujibizana na nami
pengine akili zitawarudi kwenye pumzi zenu za mwisho.
Hivi tuna shida gani waTanzania, whether Movie iwe ya mzungu kwani akishirikishwa Ili kuvutia watalii maana wakisikia Rais ndio kaongoza movie watafurika kuangalia then tukapata watalii kadhaa hapo kosa likwapi?

Kwanini mnaangalia hatimiliki ya movie na bajeti ya movie ila hamuangalii faida ya movie??

Faida ya movie inaweza isiwe ya malipo ya filamu but kwa multiplier effect ya watalii watakaokuja sababu ya filamu Ile!! Hilo ndio la msingi.

Shida exposure na Elimu ni ndogo mnadhani faida ya movie ni Ile pesa ya Amazon na sio lengo la kuleta watalii.
 
Usimsingizie Jpm, Magufuri hawezi kuchagua kilaza hawe makamu wake,huyu aliletwa na akina Kikwete, Magufuri mwenyewe anakili kuwa chaguo lake lilikuwa Hussein Mwinyi,ila alizidiwa nguvu na hakina Kikwete
Acheni uongo 2020 si alipewa fursa ya kuchagua wa kwake mbona alisema ataendelea naye au alizidiwa kete tena!!? Tena alisema anaendelea naye sababu ni mzuri na mweupe!! Ama 2020 naye aliforciwa na JK.

Akifanya maendeleo mnasema ni JPM pekee ila akifanya makosa mnasema ooh alishauriwa na Kikwete!! Wtf
 
Wa-TZ wenzangu!

Wakati wa Wikileak nilitambua walioendelea na hasa US wanatumia maafisa wa ubalozini ili kuzifahamu nchi walimo. Balozi zao zinatumika sana kuwaelewesha tabia za viongozi wetu; uwezo na udhaifu wao.

Ina maana Peter Greenberg alikuja akiwa director wa film lakini naaamini kupitia ubalozi wake alishafahamu tabia za rais wetu hadi mambo ya ndani, na ukiangalia film hii, rais alichotwa akili hadi akamuona ni rafiki kuliko hata sisi wa-TZ.

Ukiangalia Film ya Royal Tour kiutu uzima, (Siyo kama mtoto anayefurahia wanyama) inatia kichefu-chefu jinsi rais wa nchi alivyopunguziwa thamani hadi kufikia kuwa mcheza film akiwa ikulu. Walifikia hatua ya kuitana majina kama wana mahusiano ya ziada. Peter! Mama Samia!

Haya yangeondolewa wakati wa ku-edit! Nadhani yaliachwa makusudi na naamini kwa uhusiano huu Peter sasa atatumika kiurafiki kuwasiliana na rais moja kwa moja.

Kule twitter Maria Sarungi kaibua jingine nami nimethibitisha. Wamasai wanaitwa ni 'PRIMITIVE' na huyo director wa film na ikaachwa kama sehemu ya maelezo ya film ya Tanzania! Yaani tuna raia PRIMITIVE! Rais Samia anaambiwa Magufuli alipatwa na COVID anakubali, Yeah! wakati wa-TZ hatujawahi kuambiwa jambo kama hilo. Kwa nini haya yote yametokea?

Ikulu yetu haina usalama. Namaanisha watu wanaostahili kumulazimisha rais aendane na matakwa ya taifa na siyo uamuzi wake, hawapo na hawana nguvu hizo. Ina maana rais mzembe anaweza angamiza taifa. Tabia zake binafsi zinatambaa na anazungukwa na watu wa aina yake bila kizuizi.

Very, Very Sorry!
Wamekosea kuweka maudhui ya kisiasa kwenye Filamu ya kutangaza utalii kwa nini?

Lengo ni lipi?
 
Acheni uongo 2020 si alipewa fursa ya kuchagua wa kwake mbona alisema ataendelea naye au alizidiwa kete tena!!? Tena alisema anaendelea naye sababu ni mzuri na mweupe!! Ama 2020 naye aliforciwa na JK.

Akifanya maendeleo mnasema ni JPM pekee ila akifanya makosa mnasema ooh alishauriwa na Kikwete!! Wtf
Asinge weza kumuacha kwasababu chaguo lake alikuwa ameisha pata urais Zanzibar,pili mlikuwa mmeisha anzisha propoganda za udini na ukanda na ukabira
 
Huoni kuwa kutangaza utalii wa Tanzania kungeweza kufanywa na wizara husika na taasisi zenye uhusiano na utalii bila kumhusisha moja kwa moja mkuu wa nchi binafsi?
Labda unisaidie, ubaya wa SSH kushiriki ni nini? Hauoni inavutia kuliko angekuwepo Say Kigwangallah!!
Ona hii Royal tour ya Rwanda imeongozwa na Kagame

 
Asinge weza kumuacha kwasababu chaguo lake alikuwa ameisha pata urais Zanzibar,pili mlikuwa mmeisha anzisha propoganda za udini na ukanda na ukabira
Kumbe CCM ilikua ni Mwinyi tu na haina hazina ya viongozi kama mnavyojinasibu?!

Tusizunguke sana maadam alimchagua mwenyewe wakati kuna Wana CCM maelfu, then tuamini kwamba JPM alijua huyu anafaa kumrithi kama angeshindwa kuendelea na Urais!!
 
Wa-TZ wenzangu!

Wakati wa Wikileak nilitambua walioendelea na hasa US wanatumia maafisa wa ubalozini ili kuzifahamu nchi walimo. Balozi zao zinatumika sana kuwaelewesha tabia za viongozi wetu; uwezo na udhaifu wao.

Ina maana Peter Greenberg alikuja akiwa director wa film lakini naaamini kupitia ubalozi wake alishafahamu tabia za rais wetu hadi mambo ya ndani, na ukiangalia film hii, rais alichotwa akili hadi akamuona ni rafiki kuliko hata sisi wa-TZ.

Ukiangalia Film ya Royal Tour kiutu uzima, (Siyo kama mtoto anayefurahia wanyama) inatia kichefu-chefu jinsi rais wa nchi alivyopunguziwa thamani hadi kufikia kuwa mcheza film akiwa ikulu. Walifikia hatua ya kuitana majina kama wana mahusiano ya ziada. Peter! Mama Samia!

Haya yangeondolewa wakati wa ku-edit! Nadhani yaliachwa makusudi na naamini kwa uhusiano huu Peter sasa atatumika kiurafiki kuwasiliana na rais moja kwa moja.

Kule twitter Maria Sarungi kaibua jingine nami nimethibitisha. Wamasai wanaitwa ni 'PRIMITIVE' na huyo director wa film na ikaachwa kama sehemu ya maelezo ya film ya Tanzania! Yaani tuna raia PRIMITIVE! Rais Samia anaambiwa Magufuli alipatwa na COVID anakubali, Yeah! wakati wa-TZ hatujawahi kuambiwa jambo kama hilo. Kwa nini haya yote yametokea?

Ikulu yetu haina usalama. Namaanisha watu wanaostahili kumulazimisha rais aendane na matakwa ya taifa na siyo uamuzi wake, hawapo na hawana nguvu hizo. Ina maana rais mzembe anaweza angamiza taifa. Tabia zake binafsi zinatambaa na anazungukwa na watu wa aina yake bila kizuizi.

Very, Very Sorry!
Mama yenu anaona Wazungu ni Mungu.
 
Kuwa mstaarab japo kwa kujifanyisha tu. Yule ni sawa na Mama yako au shangazi yako.
Ndio maana nimekwambia wewe unataka kuona poa kile kibabu kushikana naye hand in hand.
Nimesema rais sio giggy money na wanaopanga mambo wawe makini wasirudie scenes kama hizi za kushikana mikono na waandishi wa habari kama mtu na mme wake!
I hope umenielewa nilipoandika tunamuongelea rais in a serious perspective na sio kama tunavyomjadili giggy money.
 
1. Huelewi nachosema, kama audience ni mataifa ya kiarabu obviously ingetengenezwa kwa mahadhi ya kiarabu kama ingekua kwa ajili ya waTanzania ingetengenezwa kwa mahadhi ya kibongo sasa kama target audience ni west lazima uweke mambo yatakayo apeal western culture.

Kama wao kushikana mikono au kucheka Cheka na Rais ni kitu kidogo obvious lazima u depict kwa movie Ili kuwa attract!!

2. Target ni wazungu sababu wao ndio wanamfuatilia huyo Director.... Ukitaka Chinese version au Indian version lazima utafute credible journalist wa ukanda huo ndio utapata viewership unayokusudia. So maadam ni producer beberu kwa ajili ya mabeberu then movie ikiwa kibeberu itauza!! Simple branding formula mbona
Kwahiyo tudanganye na kuvunja tamaduni zetu kufurahisha wazungu? Unajua ni binadamu kama sisi tu.
 
Una matatizo makubwa sana. Tanzania hii hii iliyobatizwa a primitive nation na huyo mzungu wa royal tour unaiona imeendelea?
Primitive siyo tusi;
(Relating to, denoting, or preserving the character of an early stage in the evolutionary or historical development of something)

Kama hujui Kiingereza sema nitaweka kwa Kiswahili
 
Ndio maana nimekwambia wewe unataka kuona poa kile kibabu kushikana naye hand in hand.
Nimesema rais sio giggy money na wanaopanga mambo wawe makini wasirudie scenes kama hizi za kushikana mikono na waandishi wa habari kama mtu na mme wake!
I hope umenielewa nilipoandika tunamuongelea rais in a serious perspective na sio kama tunavyomjadili giggy money.
Huwezi kumpangia cha kufanya rais wako mpaka useme eti asirudie tena, kuwa na adabu japo za kimaandishi tu za humu JF.

Yeye kushikana mikono na huyu mzee wa kizungu imekupunguzia kitu gani maishani mwako wewe?. Acheni kukuza mambo madogo sana haya.
 
Back
Top Bottom