Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 397
- 993
Wakuu Kwema?
Nimekutana na habari X huko inasema kutokana na Sera za PBS (Public Broadcasting Service) wanaofanya kipindi cha Royal Tour, Peter hakutakiwa kulipwa pesa yoyote kutoka serikali ya Tanzania, sababu uhusika wake unakuwa umelipiwa kutoka kwa ufadhili wa kampuni kwenye kipindi hicho.
Sasa, kwanza Peter alilipwa Tsh. ngapi kutoka kwenye zile Bilioni 7 zilizotumika?
Na mchanganuo wa matumizi ya ukoje kwenye filamu ile yote? Kwanini hatuna taarifa hii? Kusema tu zilikusanywa bilioni 11 na kutumika bilioni 7 haitoshi.
Filamu ya Royal Tour alioneshwa kwa mara ya kwanza April 18, 2022 nchini Marekani, huku waigizaji wakuu wakiwa Rais Samia na Bwana Peter Greenberg.
Nimekutana na habari X huko inasema kutokana na Sera za PBS (Public Broadcasting Service) wanaofanya kipindi cha Royal Tour, Peter hakutakiwa kulipwa pesa yoyote kutoka serikali ya Tanzania, sababu uhusika wake unakuwa umelipiwa kutoka kwa ufadhili wa kampuni kwenye kipindi hicho.
Sasa, kwanza Peter alilipwa Tsh. ngapi kutoka kwenye zile Bilioni 7 zilizotumika?
Na mchanganuo wa matumizi ya ukoje kwenye filamu ile yote? Kwanini hatuna taarifa hii? Kusema tu zilikusanywa bilioni 11 na kutumika bilioni 7 haitoshi.
Filamu ya Royal Tour alioneshwa kwa mara ya kwanza April 18, 2022 nchini Marekani, huku waigizaji wakuu wakiwa Rais Samia na Bwana Peter Greenberg.