Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,499
- 17,572
Kushauri siyo shida swala je ameshiriki nia zao mbovu za kufisidi nchiWalikuwa washauri wake namba moja wa uchumi, rejea mchango wa kujenga kanisa Chamwino, wao ndio sababu ya jamaa kumtosa Bashite