Rais Samia akiwa Arusha ameshindwa kujibu swali la mbunge wa Arusha mjini kuhusu mgao wa umeme

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,827
21,445
Akijibu suala la kukatika kwa umeme, Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato aliwataka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kufanya ushirikishaji wa viongozi waliopo katika maeneo ili kukubaliana ni maeneo gani ya muhimu kwa ajili ya kupeleka umeme ikiwemo yale ya uzalishaji.

Ninajiuliza sipati jibu: Mbunge anauliza swali la Swali la mdngibna muhimu kwa wananchi wa Jimbo lake jibu linatolewa na naibu waziri.

Je, Naibu waziri alikuwa hajui kuna hilo tatizo kabla ya ziara ya Rais?

Je, Rais kwanini hakuongelea hiyo kero ?
Kulikuwa na haja gani mbunge kuuliza Rais hilo swali iwapo Naibu waziri alikuwa na jibu lake?
 
Akijibu suala la kukatika kwa umeme, Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato aliwataka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kufanya ushirikishaji wa viongozi waliopo katika maeneo ili kukubaliana ni maeneo gani ya muhimu kwa ajili ya kupeleka umeme ikiwemo yale ya uzalishaji.

Ninajiuliza sipati jibu: Mbunge anauliza swali la Swali la mdngibna muhimu kwa wananchi wa Jimbo lake jibu linatolewa na naibu waziri.
Je Naibu waziri alikuwa hajui kuna hilo tatizo kabla ya ziara ya Rais?

Je Rais kwanini hakuongelea hiyo kero ?
Kulikuwa na haja gani mbunge kuuliza Rais hilo swali iwapo Naibu waziri alikuwa na jibu lake?
Samia ni mweupe sana kwenye Creatuve Interrogation!
Sio mjenga hoja!
Sio mtoa Sera!
Ni Rais muandikiwa hotuba!
Hana vision ya kuweza kushawishi watu live!
Samia!
anapwaya kwenye Ziara,sababu watu walikwisha zoea Amsha-Amsha ziara za hayati JPM!

Mama sio
"Live Material"
bali ni
"Recorded Material"

....Nikimaanisha kwamba,Samia bila kukaa na washika Remote na kupewa Program,yeye binafsi hajiwezi.

Labda kwenye vikao vya kina Mama wenzie kujenga hoja za kutetea GENDER EQUALITY!
 
Akijibu suala la kukatika kwa umeme, Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato aliwataka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kufanya ushirikishaji wa viongozi waliopo katika maeneo ili kukubaliana ni maeneo gani ya muhimu kwa ajili ya kupeleka umeme ikiwemo yale ya uzalishaji.

Ninajiuliza sipati jibu: Mbunge anauliza swali la Swali la mdngibna muhimu kwa wananchi wa Jimbo lake jibu linatolewa na naibu waziri.
Je Naibu waziri alikuwa hajui kuna hilo tatizo kabla ya ziara ya Rais?

Je Rais kwanini hakuongelea hiyo kero ?
Kulikuwa na haja gani mbunge kuuliza Rais hilo swali iwapo Naibu waziri alikuwa na jibu lake?
Huyo Mbunge kuna kitu anakitafuta.

Tutakutana naye kwenye kura za maoni 2025.
 
Samia ni mweupe sana kwenye Creatuve Interrogation!
Sio mjenga hoja!
Sio mtoa Sera!
Ni Rais muandikiwa hotuba!
Hana vision ya kuweza kushawishi watu live!
Samia!
anapwaya kwenye Ziara,sababu watu walikwisha zoea Amsha-Amsha ziara za hayati JPM!

Mama sio
"Live Material"
bali ni
"Recorded Material"

....Nikimaanisha kwamba,Samia bila kukaa na washika Remote na kupewa Program,yeye binafsi hajiwezi.

Labda kwenye vikao vya kina Mama wenzie kujenga hoja za kutetea GENDER EQUALITY!
Andika kwa kutumia maneno ya heshima unapomzungumzia mkuu wa nchi. #Usigeuze uhuru wa maoni kuwa jinai.
 
Andika kwa kutumia maneno ya heshima unapomzungumzia mkuu wa nchi. #Usigeuze uhuru wa maoni kuwa jinai.
Wewe ni mitala wa Nani huko kwa walamba asali.

Sijawahi kuona mtu mwenye wake wengi au kaolewa mke wa pili akawa na akili timamu
 
Acha chuki ww
Samia ni mweupe sana kwenye Creatuve Interrogation!
Sio mjenga hoja!
Sio mtoa Sera!
Ni Rais muandikiwa hotuba!
Hana vision ya kuweza kushawishi watu live!
Samia!
anapwaya kwenye Ziara,sababu watu walikwisha zoea Amsha-Amsha ziara za hayati JPM!

Mama sio
"Live Material"
bali ni
"Recorded Material"

....Nikimaanisha kwamba,Samia bila kukaa na washika Remote na kupewa Program,yeye binafsi hajiwezi.

Labda kwenye vikao vya kina Mama wenzie kujenga hoja za kutetea GENDER EQUALITY!
 
Back
Top Bottom