Rais Samia aambiwe ukweli, vinginevyo Taifa litaangamia

Pls guy's give our President Samia a break,Rais Samia anajitahidi mno na kwa kipindi kifupi ameonyesha she is a superb,kelele za mtoa hoja hii mbona hukuileta wakati wa kipindi cha mwendazake?elewa uelewa wa Rais wa sasa ndio umekupa wewe nguvu wa kuandika haya bila woga.Give credits inapositahili usiwe kama spoiled child.
Hana sababu ya kuchelewesha haki. Justice delayed is justice denied.
 




Wengine hao sikia madereva wanakwambia hayo mambo walishaanza kusahau kipindi cha Magufuli yanarudi upya na rushwa juu.

Mama badala ya kubaki na team yenye mafanikio analeta ubinifu wake. Huu moto bado nasubiri mishahara kuanza kuchelewa ndio watu wataanza kuelewa kazi ya kuendesha nchi sio lelemama kama wanavyodhani, mama viatu kwenye hiyo nafasi vinapwaya.

Alikuwa na nafasi kubwa sana ya kuaminika angeendelea na team ya Magufuli especially kwenye kusimamia mapato na teama Magufuli ndani ya CCM hasa Bashiru kwa nafasi yoyote ile walishaanza kuelewa jinsi ya kuwamudu wanachama wao na watendaji serikalini. Vitu ambavyo vilikuwa aviwezekani kwa miaka 30 ya utawala wa Mwinyi, Mkapa na JK.

Moto wenyewe huko njiani huo moshi tu. Make no mistake it’s coming mama hiyo kazi sio size yake kabisa.
 
Eneo la kwanza ni kuheshimu katiba na sheria, hili ni eneo ambalo kama nchi tunataka kudumisha upendo na amani ni la kuzingatia kwa nguvu zote. Samia ameapa kulinda katiba asipofanya hivyo ni uhaini na lazima atakuja kuchukuliwa hatua bila kujali kinga za Urais. Mila na utamaduni wa Taifa lo lote hudumisha na kuimarishwa na katiba yake.

Eneo la pili na uhuru na haki ya wananchi wote bila kujali cheo cha mtu au nafasi yake katika jamii. Hivi sasa kuna watu wanajiona wana haki zaidi ya wengine na hivyo kufanya vitendo vya uonevu na dhuluma dhidi ya wengine. Kuna watu wanasota magerezani bila kuhukumiwa na wengine wamehukumiwa kwa uonezi na husda. Hii si sawa kabisa, Rais Samia anapaswa kuchukua hatua za haraka ikiwa ni pamoja na kuunda tume huru ya kijaji kuchunguza haki za wote waliopo mahabusu na gerezani.

Eneo la tatu ni kusikilizwa kwa maoni na vilio vya wananchi bila kujali itikadi zao za kisiasa. Pamoja na kuwa na katiba na sheria zilizopo lakini watu wengi wamekuwa wakiathirika na baadhi ya vifungu vya sheria hizo kwa sababu ni za uonevu na zimetungwa kulinda maslahi ya baadhi ya watu. Aidha kuna sheria zimetungwa kudhibiti baadhi ya watu na vyama vya siasa bila kuzingatia haki zao za msingi za kikatiba. Kwa hiyo kilio cha kupata katiba mpya ambayo itaendana na wakati wa sasa ni muhimu kusikilizwa na pia kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi ambayo itatoa haki sawa kwa kila mtu na vyama vyote vya siasa.
Uko sahihi. Katiba mpya kama ilivyopendekezwa na Tume ya Mzee Warioba itapunguza dhuluma na uonevu unaofanyika. Tuidai kwa nguvu zote.
 




Wengine hao sikia madereva wanakwambia hayo mambo walishaanza kusahau kipindi cha Magufuli yanarudi upya na rushwa juu.

Mama badala ya kubaki na team yenye mafanikio analeta ubinifu wake. Huu moto bado nasubiri mishahara kuanza kuchelewa ndio watu wataanza kuelewa kazi ya kuendesha nchi sio lelemama kama wanavyodhani, mama viatu kwenye hiyo nafasi vinapwaya.

Alikuwa na nafasi kubwa sana ya kuaminika angeendelea na team ya Magufuli especially kwenye kusimamia mapato na teama Magufuli ndani ya CCM hasa Bashiru kwa nafasi yoyote ile walishaanza kuelewa jinsi ya kuwamudu wanachama wao na watendaji serikalini. Vitu ambavyo vilikuwa aviwezekani kwa miaka 30 ya utawala wa Mwinyi, Mkapa na JK.

Moto wenyewe huko njiani huo moshi tu. Make no mistake it’s coming mama hiyo kazi sio size yake kabisa.

Uzuri ni kuwa fisadi mkuu wa Taifa amekufa hatuna cha kupoteza!
 
Uzuri ni kuwa fisadi mkuu wa Taifa amekufa hatuna cha kupoteza!
We unaona hayati alikuwa fisadi wenzako wanaona hasara za kutokuwepo kwake. Hayo malorry kukaa bandarini siku tano mwenye mali anakosa fursa ya kuchangamkia tender zingine, meli kucheleweshwa port bandari inalipa fidia; jumlisha na rushwa zingine zinazoanza kushamiri.

Foreseeing what is round the corner under her leadership is not rocket science, it’s coming. Make no mistake na amini usiamini watakaonza kuwa against naye ni walewale waliokuwa against Magufuli. This time kwa kuelewa kazi ngumu iliyofanywa na mwenzake kuelekea kuaribika.

Legacy ya Magufuli ipo kwenye maslahi mapana ya nchi si kwenye mapungufu yake ya ubinadamu.

Ni muda ata wale CCM waliokuwa wakimpinga Magufuli hadharani kama kina Membe wataongea anapoenda mama sipo.

I like wagers ndani ya mwaka tuone kama watu wataendelea kuvumilia mama akiendelea na leadership style yake.
 
Rais wa Tanzania haitaji kujitahidi. Anaamuru tu mambo yanafanyika.
Pls guy's give our President Samia a break,Rais Samia anajitahidi mno na kwa kipindi kifupi ameonyesha she is a superb,kelele za mtoa hoja hii mbona hukuileta wakati wa kipindi cha mwendazake?elewa uelewa wa Rais wa sasa ndio umekupa wewe nguvu wa kuandika haya bila woga.Give credits inapositahili usiwe kama spoiled child.
 
Jiwe amefanya kipi cha tofauti na walichofanya Mwinyi, Mkapa na JK?




Wengine hao sikia madereva wanakwambia hayo mambo walishaanza kusahau kipindi cha Magufuli yanarudi upya na rushwa juu.

Mama badala ya kubaki na team yenye mafanikio analeta ubinifu wake. Huu moto bado nasubiri mishahara kuanza kuchelewa ndio watu wataanza kuelewa kazi ya kuendesha nchi sio lelemama kama wanavyodhani, mama viatu kwenye hiyo nafasi vinapwaya.

Alikuwa na nafasi kubwa sana ya kuaminika angeendelea na team ya Magufuli especially kwenye kusimamia mapato na teama Magufuli ndani ya CCM hasa Bashiru kwa nafasi yoyote ile walishaanza kuelewa jinsi ya kuwamudu wanachama wao na watendaji serikalini. Vitu ambavyo vilikuwa aviwezekani kwa miaka 30 ya utawala wa Mwinyi, Mkapa na JK.

Moto wenyewe huko njiani huo moshi tu. Make no mistake it’s coming mama hiyo kazi sio size yake kabisa.
 
We unaona hayati fisadi alikuwa wenzako wanaona hasara kutokuwepo kwake. Hayo malorry kukaa bandarini siku tano mwenye mali anakosa fursa ya kuchangamkia tender zingine, meli kucheleweshwa port bandari inalipa fidia; jumlisha na rushwa zingine zinazoanza kushamiri.

Foreseeing what is round the corner under her leadership is not rocket science, it’s coming. Make no mistake na amini usiamini watakaonza kuwa against naye ni walewale waliokuwa against Magufuli. This time kwa kuelewa kazi ngumu iliyofanywa na mwenzake kuelekea kuaribika.

Legacy ya Magufuli ipo kwenye maslahi mapana ya nchi si kwenye mapungufu yake ya ubinadamu.

Ni muda ata wale CCM waliokuwa wakimpinga Magufuli hadharani kama kina Membe wataongea anapoenda mama sipo.

I like wagers ndani ya mwaka tuone kama watu wataendelea kuvumilia mama akiendelea na leadership style yake.
Hakuna kitu kizuri duniani kama kuishi kwa amani bila woga wa kutekwa wala kuonewa! Baada ya kifo cha huyo ndugu yako watu wanaishi bila wasiwasi.
Hayo matatizo ya bandarini hayakuanza leo, tangu Magufuli akiwepo yalikuwepo na kila mara ilikuwa kiguu na njia bandarini lakini hakuweza kupata ufumbuzi!
 
Hawa watakataa unayoyasema.

1. Wale waliopotea na waliopotelewa na ndugu zao katika mazingira tata
2. Wale waliochukuliwa mali zao kidhalimu na ma-task force
3. Wale walipelekwa magerazani kwa miezi na miaka kwa kesi za kubumba
4. Walipoteza maisha katika chaguzi kama Akwilina
5. Waliopoteza biashara kama Kwanza TV na Mbowe
6. Walionyang'anywa passports kama Eyakuze
7. Waliochafuliwa wanafanya biashara za madawa na kipendwa chake Bashite
8. Waliopoteza kazi zao kwa mkono na nia ovu kama Fatma Karume
9. Wakulima Ambao hawakupewa pesa zao za korosho
10. Waliobomolewa nyumba zao Kimara
11.Wastaafu wanaopigwa na jua kutwa wakifuatilia mafao yao ya pensheni
12.Vyombo vya habari binafsi ambavyo viligeuzwa kwa nguvu kuwa state propoganda media.
13.Waliochafuliwa na Musiba pamoja na genge lake




Wengine hao sikia madereva wanakwambia hayo mambo walishaanza kusahau kipindi cha Magufuli yanarudi upya na rushwa juu.

Mama badala ya kubaki na team yenye mafanikio analeta ubinifu wake. Huu moto bado nasubiri mishahara kuanza kuchelewa ndio watu wataanza kuelewa kazi ya kuendesha nchi sio lelemama kama wanavyodhani, mama viatu kwenye hiyo nafasi vinapwaya.

Alikuwa na nafasi kubwa sana ya kuaminika angeendelea na team ya Magufuli especially kwenye kusimamia mapato na teama Magufuli ndani ya CCM hasa Bashiru kwa nafasi yoyote ile walishaanza kuelewa jinsi ya kuwamudu wanachama wao na watendaji serikalini. Vitu ambavyo vilikuwa aviwezekani kwa miaka 30 ya utawala wa Mwinyi, Mkapa na JK.

Moto wenyewe huko njiani huo moshi tu. Make no mistake it’s coming mama hiyo kazi sio size yake kabisa.
 
Miezi miwili hii makelele mengi.

Wakati watu mliu fyata kimyaa Kwa miaka mitano. Huu ni unafiki.
Wangeufyata wasingepigwa risasi au wengine kupotezwa tusijue walipo mpaka leo, huyo dadako atapingwa tu, no way out.
 
Huyo rais alisema wananchi wakiipigia kura CCM au wasipoipigia, CCM itashinda tu.

Kauli ya kipumbavu kabisa inayoonesha kutojali matakwa ya wapiga kura na uwezekano wa CCM kuiba kura.

Unategemea akiambiwa ukweli asioupenda atauheshimu?
Si ndo maana anafanya mambo ya hovyo, km vile alivotoa hiyo kauli.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Marekebisho ya sheria yaruhusu Mkuu wa taasisi ya serikali kufikishwa mahakamani kueleza kwa nini asifungwe jela kwa kosa la kutolipa kwa makusudi madai ya mdai.

Markebisho aliyofanya JPM yaliondoa uwezekano wa kumfunga kwa madai (civil prisoner) mkuu wa Taasisi ya Serikali pale anapokaiddi amri ya mahakama ya kumlipa mdai wa serikali. Yaani kwa sasa ukishinda kesi dhidi ya serikali hukumu inakuwa kama picha, haikaziki. Utekelezaji ni mpaka serikali yenyewe ijisikie kutekeleza amri hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom