Uganda wasubirie msaada kutoka nchi za kiarabu uzuri msaada wa waarabu hauna riba unarudisha kama ulivyo.
Dunia imelalia East na miradi mikubwa inafanywa na wachina.Uganda wasubirie msaada kutoka nchi za kiarabu uzuri msaada wa waarabu hauna riba unarudisha kama ulivyo.
Unaongelea msaada au mkopo?Uganda wasubirie msaada kutoka nchi za kiarabu uzuri msaada wa waarabu hauna riba unarudisha kama ulivyo.
Ushoga HAPANA!, leo umekuja vizuri ila kuna ambao wapo uku na ID zao zinajulikana kama vipi anzisha kampeni tuyatoe uku yananuka nya
Binafsi namuunga mkono Museveni 100 %Ushoga HAPANA!, leo umekuja vizuri ila kuna ambao wapo uku na ID zao zinajulikana kama vipi anzisha kampeni tuyatoe uku yananuka nya
Nafanya mishe kiwanja x cha mwewe sasa wale jamaa wakija waarabu mnapanga mstari mnakatiwa hela nzuri tu ya kula 😀 unaona sheikh maamae kapiga kilemba ile yenyewe anakuja na mpunga mlipo, akianza kugawa unaskia anasema bismillah😂😂Unaongelea msaada au mkopo?
Waarabu hawatoi msaada halafu uulipe, kwao msaada ni sadaka.
Waarabu siyo wazungu wanaokukaanga kwa mafuta yako.
Sijakuelewa.Nafanya mishe kiwanja x cha mwewe sasa wale jamaa wakija waarabu mnapanga mstari mnakatiwa hela nzuri tu ya kula 😀 unaona sheikh maamae kapiga kilemba ile yenyewe anakuja na mpunga mlipo, akianza kugawa unaskia anasema bismillah😂😂
Fanyeni kazi acheni kuupa promoTanzania Kuna sehemu tunakwama hakuna haja ya kusubiri tuweke wazi kuwa hatuhitaji USHOGA
Ushoga ni laana Mungu akatuepushie sisi na vizazi vyetu.Binafsi namuunga mkono Museveni 100 %
Mashoga utayoona tu hapa yanakuja kumpinga Museveni, hayajifichi.
Sijakuelewa.
Na wewe ni walewale?
Unamaanisha nn kusema wale wale coz sijakuelewa hapaSijakuelewa.
Na wewe ni walewale?
Huyo mufti mwenyewe salama? Yaani hajasikia habari zooote za maendeleo Africa, uzuri wa Zanzibar, vita vya Sudan nk nk. Lakini habari za kufiranaa kapata haraka hivi? Huyu vipi? Nina wasiwasi na huyu babu.
Unajua wanaamini Christians wanaunga mkono huu ushetani kumbe sivyo, pia angeweza kumpongeza mzee mseven pasipo kuattach na kitu kingne. Ila she is doing gud kupinga ushogaHapo vijukuu vya Mudi wanashindwa kumsifu Mu7 wanajaribu kumuuattach na Mufti
Tushawazoea haoUnajua wanaamini Christians wanaunga mkono huu ushetani kumbe sivyo, pia angeweza kumpongeza mzee mseven pasipo kuattach na kitu kingne. Ila she is doing gud kupinga ushoga
Kaka ushoga sio haki ya binadamu. Huu ni mpango wa kishetaniIla ninaheshimu alichosema Papa wa kikatoliki kuhusu ushoga. Haki za binadamu zizingatiwe.