Rais Museveni na watu wa Uganda waungwe mkono, asema Mufti Mkuu wa Oman

FaizaFoxy

Platinum Member
Apr 13, 2011
92,881
109,192
IMG-20230603-WA0031.jpg
 
Unaongelea msaada au mkopo?

Waarabu hawatoi msaada halafu uulipe, kwao msaada ni sadaka.


Waarabu siyo wazungu wanaokukaanga kwa mafuta yako.
Nafanya mishe kiwanja x cha mwewe sasa wale jamaa wakija waarabu mnapanga mstari mnakatiwa hela nzuri tu ya kula 😀 unaona sheikh maamae kapiga kilemba ile yenyewe anakuja na mpunga mlipo, akianza kugawa unaskia anasema bismillah😂😂
 
Nafanya mishe kiwanja x cha mwewe sasa wale jamaa wakija waarabu mnapanga mstari mnakatiwa hela nzuri tu ya kula 😀 unaona sheikh maamae kapiga kilemba ile yenyewe anakuja na mpunga mlipo, akianza kugawa unaskia anasema bismillah😂😂
Sijakuelewa.

Na wewe ni walewale?
 
Back
Top Bottom