Tetesi: Rais Mfute Kazi Suleiman Abubakr Mombo Mara Moja

Tetesi: Rais Mfute Kazi Suleiman Abubakr Mombo Mara Moja

Status
Not open for further replies.

PhD

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2009
Posts
4,835
Reaction score
4,240
Kwa video zinazoendelea kuwekwa na Dada Mange zikionesha utajiri usiendana na Kipato cha Dgis Mombo na Familia yake. Nashauri Rais Samia Tengua uteuzi wa Mombo mara moja.

Leo kuna video ya Hidaya Binti wa Mombo akichezea Dola laki 3 takribani milioni 800 za Tanzania taslim na akiwanyooshea watanzania kiddie cha matusi cha kati.

Rais Samia hata kama Mombo amekusaidia sana nakushauri tengua uteuzi wake leo. Mombo ni kihatarishi kikubwa cha umoja na usalama wa kitaifa leo. Watu wamechafukwa wanasubiri muda tu it's a time bomb.

Masikini wanakufa kwa kukosa dawa na chakula. Wafanyabiashara wadogo biashara zinakufa kwa kodi. Walimu mishahara midogo. Hospitali zinanuka uchafu. Wanafunzi wanakaa chini. Mombo , Abdul na akina Kiziga wanagawana pesa za watanzania kwa matusi. Hakuna kitu kitawaunganisha watanzania kama haya matusi mnayowafanyia sasa hivi. Sio CCM sio upinzani.

Mombo1.jpg
 
Kwa video zinazoendelea kuwekwa na Dada Mange zikionesha utajiri usiendana na Kipato cha Dgis Mombo na Familia yake. Nashauri Rais Samia Tengua uteuzi wa Mombo mara moja.

Leo kuna video ya Hidaya Binti wa Mombo akichezea Dola laki 3 takribani milioni 800 za Tanzania taslim na akiwanyooshea watanzania kiddie cha matusi cha kati.

Rais Samia hata kama Mombo amekusaidia sana nakushauri tengua uteuzi wake leo. Mombo ni kihatarishi kikubwa cha umoja na usalama wa kitaifa leo. Watu wamechafukwa wanasubiri muda tu it's a time bomb.

Masikini wanakufa kwa kukosa dawa na chakula. Wafanyabiashara wadogo biashara zinakufa kwa kodi. Walimu mishahara midogo. Hospitali zinanuka uchafu. Wanafunzi wanakaa chini. Mombo , Abdul na akina Kiziga wanagawana pesa za watanzania kwa matusi. Hakuna kitu kitawaunganisha watanzania kama haya matusi mnayowafanyia sasa hivi. Sio CCM sio upinzani.
Mkuu weka video kwa faida ya members na familia yangu ili tupate hasira maradufu
 
Kwa video zinazoendelea kuwekwa na Dada Mange zikionesha utajiri usiendana na Kipato cha Dgis Mombo na Familia yake. Nashauri Rais Samia Tengua uteuzi wa Mombo mara moja.

Leo kuna video ya Hidaya Binti wa Mombo akichezea Dola laki 3 takribani milioni 800 za Tanzania taslim na akiwanyooshea watanzania kiddie cha matusi cha kati.

Rais Samia hata kama Mombo amekusaidia sana nakushauri tengua uteuzi wake leo. Mombo ni kihatarishi kikubwa cha umoja na usalama wa kitaifa leo. Watu wamechafukwa wanasubiri muda tu it's a time bomb.

Masikini wanakufa kwa kukosa dawa na chakula. Wafanyabiashara wadogo biashara zinakufa kwa kodi. Walimu mishahara midogo. Hospitali zinanuka uchafu. Wanafunzi wanakaa chini. Mombo , Abdul na akina Kiziga wanagawana pesa za watanzania kwa matusi. Hakuna kitu kitawaunganisha watanzania kama haya matusi mnayowafanyia sasa hivi. Sio CCM sio upinzani.
View attachment 3470241
Amfute wakati ndiye mshirika wake mkubwa katika kuibagaza Tanganyika yetu.
 
What about the other side of the story. Its time for Mr Msigwa to come with the other side of the story. This could be false allegations. Hatred as tuko kipindi cha uchaguzi kuchafuana is the order of the day hasa news source ikiwa ni Mange box la penasol
 
Kwa video zinazoendelea kuwekwa na Dada Mange zikionesha utajiri usiendana na Kipato cha Dgis Mombo na Familia yake. Nashauri Rais Samia Tengua uteuzi wa Mombo mara moja.

Leo kuna video ya Hidaya Binti wa Mombo akichezea Dola laki 3 takribani milioni 800 za Tanzania taslim na akiwanyooshea watanzania kiddie cha matusi cha kati.

Rais Samia hata kama Mombo amekusaidia sana nakushauri tengua uteuzi wake leo. Mombo ni kihatarishi kikubwa cha umoja na usalama wa kitaifa leo. Watu wamechafukwa wanasubiri muda tu it's a time bomb.

Masikini wanakufa kwa kukosa dawa na chakula. Wafanyabiashara wadogo biashara zinakufa kwa kodi. Walimu mishahara midogo. Hospitali zinanuka uchafu. Wanafunzi wanakaa chini. Mombo , Abdul na akina Kiziga wanagawana pesa za watanzania kwa matusi. Hakuna kitu kitawaunganisha watanzania kama haya matusi mnayowafanyia sasa hivi. Sio CCM sio upinzani.
View attachment 3470241
Na kama amempa yeye?
 
Eti familia ya mkurugenzi wa usalama wa taifa,

Tukiwaambia watu serikali ya samia imejaza vilaza tu tena kwenye nafasi muhimu ambao hawana waledi wowote, wanakuja machawa na kutwambia eti tunaona wivu.

Yaan mkurugenzi wa taasisi muhimu halafu familia yako inakuwa exposed namna hii?

Hayo matoto yake hayana proper home trainings?

Hizo hela zake anazotuibia anaziweka kiholela holela tu humo ndani kiasi kwamba mtu yeyote ana access nazo?

Na kwanza kwa mshaara upi anaolipwa mpaka anakuwa pesa nyingi hivyo za kuchezea watoto wake?

Sidhani kama tumewahi kuwa na DG wa TISS kilaza kama huyu Mombo.

NB: nawaombeni jamii forum msifute huu uzi licha ya changamoto mnazopitia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom