Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,123
Nimependa kuona salam za Christmas's za viongozi wa Kitaifa. Ningependa kusikia kauli zao kuhusu upungufu wa maadili, kuongezeka mauaji, kero za huduma ikiwemo upungufu wa umeme.
Lakini bado sijaweza kusikia salamu zao rasmi. Au awajashiriki misa ya Christmas's? Au watazungumza nasi jioni?
Merry Christmas kwenu nyote; tupendane na kuvumiliana
Lakini bado sijaweza kusikia salamu zao rasmi. Au awajashiriki misa ya Christmas's? Au watazungumza nasi jioni?
Merry Christmas kwenu nyote; tupendane na kuvumiliana