Mundamushimu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 752
- 432
Huyu jamaa anatukana, vinginevyo tupe maana ya bwasheeBwashee ndiyo nini?
Huyu jamaa anatukana, vinginevyo tupe maana ya bwasheeBwashee ndiyo nini?
Yani hapo mmeshafarijika na mta relax tu, badala ya kufuatilia kuna jambo gani nyuma ya pazia kuhusu mkutano huo IKULU! 🤔Mwenyekiti wa CCM na Rais John Magufuli amekionya chama chake kisibweteke kwani upinzani wa sasa unatisha kutokana na mikakati yake
Akiwahitubia viongozi wa wilaya na mikoa kote nchini jijini DSM hapo jana Rais amesema wapinzani wa leo wamebadilika na wana mikakati ya hadharani na ya siri katika mapambano ya kutwaa madaraka
Ingawa Rais hakutaja chama chochote kwa jina lakini ni hivi karibuni chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kilifanya mkutano mkuu wake uliovunja rekodi kwa jinsi ulivyopangiliwa vyema na hatimaye ikagundulika kwamba kwa sasa chama hicho kina wanachama wenye kadi milioni 6 na nusu kutokana na operesheni yake ya Chadema ni Msingi iliyofanyika nchini kote kimyakimya kwa miaka miwili.
View attachment 1333871View attachment 1333872View attachment 1333873
Mwenyekiti wa CCM na Rais John Magufuli amekionya chama chake kisibweteke kwani upinzani wa sasa unatisha kutokana na mikakati yake
Akiwahitubia viongozi wa wilaya na mikoa kote nchini jijini DSM hapo jana Rais amesema wapinzani wa leo wamebadilika na wana mikakati ya hadharani na ya siri katika mapambano ya kutwaa madaraka
Ingawa Rais hakutaja chama chochote kwa jina lakini ni hivi karibuni chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kilifanya mkutano mkuu wake uliovunja rekodi kwa jinsi ulivyopangiliwa vyema na hatimaye ikagundulika kwamba kwa sasa chama hicho kina wanachama wenye kadi milioni 6 na nusu kutokana na operesheni yake ya Chadema ni Msingi iliyofanyika nchini kote kimyakimya kwa miaka miwili.
View attachment 1333871View attachment 1333872View attachment 1333873
Bwashee hutumia zaidi na mashoga, wewe nani alikuharibu? na alikuharibu ukiwa na miaka mingapi? bado yupo hai? je wewe unaendelea na hako kamchezo au umeacha?Endelea kusubiri Tume huru bwashee!
Ilihamia Mwanza kutoka na hofuHajaitaja Chadema bwashee.
Kikwazo cha CCM kwa sasa ni ACT wazalendo Zanzibar.......huku bara upinzani umeshazikwa ndio maana serikali nzima ilihamia Zanzibar nyakati za sherehe za mapinduzi ili kuweka mambo sawa.
Wachagga na ushoga wapi na wapi bwashee?!Bwashee hutumia zaidi na mashoga, wewe nani alikuharibu? na alikuharibu ukiwa na miaka mingapi? bado yupo hai? je wewe unaendelea na hako kamchezo au umeacha?
Nimeuliza Chadema hii hii inayokimbiwa na madiwani wake kila siku bwashee?!
Wachagga na ushoga wapi na wapi bwashee?!
Kwahiyo hapo Ufipa ni dangurooo!
Fahamu huyu anaandika chochote ili mkono uende kinywaniNdio maana wanakuita vuvuzela! Mwenyekiti anaonyesha hadharani woga wake lakini wewe huna habari unakata mauno tuu kama Lugola?
Yeye ndiye anavyanzo vingi ndani ya chama na kesha jua kuwa ngoma inapasuka hivyo anatahadharisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena ukweli mtupuWale wanaohama vyama malengo yao niya masilahi zaidi wasitegemee uchaguzi unaokuja watatoboa kupitia kura za debe wananchi watajali zaidi wagombea watakao watetea sio hao wanaojali zaidi matumbo yao.
Acha kuchekesha umati weweNimeuliza Chadema hii hii inayokimbiwa na madiwani wake kila siku bwashee?!
Amekaririshwa ujinga hapo LumumbaHuyu jamaa anatukana, vinginevyo tupe maana ya bwashee
Mwaka huu mkuu.Siyo mwakanihapo ametufunga miguu, mikono na midomo kwa miaka minne sasa akitufungulia ila kiukweli mwakani rais ni Lisu..
Mkutano Mkuu wa CDM mwaka jana umeacha kitisho kikubwa CCMWameanza lini kumbia? Muda mrefu sana
1. Kila wakati chama kinaimarika zaidi
2. Wapo waliosema 2020 hakifi, kimefika tena kwa tija.
Kumbia sio hoja,
Hoja ni jee kinaimarika? Kinapanuka na kutamalaki?